Frobits
🎵 A song made on Frobits

Twakuhitaji Mungu

0:000:00
Download
Make your own song
Lyrics

[male

vocals] (

Hallelujah) (

Msifuni)

Twakuhitaji

Bwana,

simama

nasi

leo

Onaa

onaa

mambo

yanabadirika

Yale

uliyo

yasema

kweli

yanatokeaa

Upendo

wa

wengi

unapoaa

Dhambi

zinaongezeeka

Binadamu

kama

wanyama

Wenyewe

tuna

uwana

Hakuna

hofu

yako

Baba

ee

Sasa

dhambi

ni

sherehee

Twakuhitaji

Mungu,

simamaa

weee

Twakuhitaji

Mungu,

simamaa

weee

Tunatweta

kwa

huzuni

dunia

inawaka

Twakuhitaji

Mungu,

simamaa

weee (

Glory,

Glory!)

Eti

kisa

pesa

Mungu

Uliyo

sema

ya

kaisali

Hiyo

yatupiga

pingu

Tunakukosa

wewe

Mungu

Wengine

wanadiriki..

Hata

kuzipiga

ramuli..

Kukesha

huko

kwa

waganga..

Wazikapate

hizo

mali..

Twakuhitaji

Mungu,

simamaa

weee

Twakuhitaji

Mungu,

simamaa

weee

Tunatweta

kwa

huzuni

dunia

inawaka

Twakuhitaji

Mungu,

simamaa

weee

Mmh

hatari

saanaa

Mmmh

hatari

sanaaa

Tunahitaji

mwanga

wako

utuangazie

Ondoa

hizi

giza,

tuongoze

njia (

Yes

Lord,

Yes

Lord!)

Hatuna

mwingine

wa

kumkimbilia

Ni

wewe

tu

mwamba

wetu

wa

milele

Onyesha

nguvu

zako

katikati

ya

majaribu

Uinuke

Mungu

wetu,

tushinde

ulimwengu

Kuna

amani

katika

jina

lako

Tunakungoja

wewe

pekee

Twakuhitaji

Mungu,

simamaa

weee

Twakuhitaji

Mungu,

simamaa

weee

Tunatweta

kwa

huzuni

dunia

inawaka

Twakuhitaji

Mungu,

simamaa

weee

Twakuhitaji

Mungu,

simamaa

weee (

Amen,

Amen)

Tunakuhitaji

kila

saa

Simama

nasi,

Bwana

wetu (

Thank

You

Jesus)

Simama

nasi

milele. (

Thank

You

Jesus)

Simama

nasi

milele.

More songs by yohana Listen to songs created by others
FROBITS