[female vocals] Wimbo
UHUSU
kikundi
Cha
uimbaji
Cha
TANZANIA
NEW
GENERATION
KIDS,
kilichopo
shule
ya
msingi
kombe
wilaya
ya
kaliua,
mkoa
wa
TABORA.
kikiwa
chini
ya
mwalimu
MUHUNDA
JAMES.
kikiongozwa
na
waimbaji
kama
DAINESI
melisiana,
Zena,
zainabu,
devotha,
agness
Stella,
zuhura,
Edina,
hazina,
pendo,
orada,
hellena,
Beatrice,
sifa,
Anna,
doto,
aida,
Irene,
gladi,
janeth
na
zawadi ,
kilianzishwa
mwaka 2026
na
mpaka
Sasa
kinafanya
vizuri
katika
soko
la
mziki ,
kikiimba
nyimbo
za
haki
za
watoto ,
uzalendo
tanzania,
kuhimiza
amani
na
upendo
na
kupinga
ukatili
wa
kijinsia.
heshima ,
UMOJA
na
amani,
nguzo
muhimu
kwetu