[male vocals] Yeah,
écoute,
c'est
le
moment
On
change,
wazazi
wetu
walitenda
dhambi
nyingi
sana
sisi
tuko
nalipa
Tume
isha
maisha
tusiyo
ya
penda
kwasababu
ya
wazazi
wetu
walitenda
dhambi
sana
zamani,
tumeendelea
kupata
shida
tuna
tafuta
maisha
hatupati,
Mais
je
refuse
de
rester
dans
le
vent,
en
attendant
La
souffrance
nous
guette
à
chaque
coin
de
la
rue
Mais
kwanini
walifanya
hivyo
ili
tuteseke
hivyo,
on
efface
tout
ce
qu'on
a
vécu
On
est
debout,
on
regarde
On
efface
la
malédiction,
on
change
de
place
On
brise
les
chaines,
on
laisse
tout
derrière
Tuna
vunza
kamba
za
laana
ya
wazazi,
hatutaki
maisha
haya
tunayoyaona,
on
cherche
la
lumière
Misingi
ooooh
misingi
hatutaki
tena,
misingi
ooooh
misingi
hatutaki
tena,
On
brise
les
chaines,
on
laisse
tout
derrière
Tunataka
mabadiliko
bora
ndani
ya
kristo
aliye
hai,
on
cherche
la
lumière,
misingi
ooooh
misingi
hatutaki
tena
misingi
ooooh
misingi
hatutaki
tena!
Damu
zao
zime
ndani
yetu
tume
zaliwa
katika
laana
zao
wengine
wazazi
walikuwa
wa
sherati,
tuka
zaliwa
katika
usherati
zao
Mais
je
sens
le
feu
qui
brûle
au
fond
de
mon
âme
Pas
de
malédiction
qui
tienne
face
à
ma
volonté
Nataka
niwe
mimi
peke
yangu
sitaki
laana
zenu
mulizo
fanya,
je
cherche
ma
propre
vérité
La
famille,
les
racines,
mizizi
yenu
itoke
ndani
yangu
nimepokea
Kristo
aliye
hai
Mungu
wa
Mulindwa
Jules
Mais
je
refuse
de
voir
mon
futur
effacé,
sitaki
kesho
yangu
iwe
vibaya,
Je
chante
la
liberté,
je
chante
ce
que
j'aime
On
brise
les
chaines,
on
laisse
tout
derrière
Tuna
vunza
kamba
za
laana
ya
wazazi,
hatutaki
maisha
haya
tunayoyaona,
on
cherche
la
lumière,
misingi
ooooh
misingi
hatutaki
tena,
misingi
ooooh
misingi
hatutaki
tena,
On
brise
les
chaines,
on
laisse
tout
derrière
Tuna
taka
mabadiliko
bora
ndani
ya
kristo
aliye
hai,
on
cherche
la
Lumière,
misingi
ooooh
misingi
hatutaki
tena
misingi
ooooh
misingi
hatutaki
tena!
Oh,
mmm,
sens
l'énergie
monter
On
est
bien
trop
forts
pour
être
limités
Come
kristo
aliye
hai,
ume
tukomboa,
pasipo
wewe
hatuwezi
kuendelea,
damu
zao
zina
tu
tafuta
ili
turudi
kwenye
maisha
yao
ya
zamani
ya
kutenda
zambi,
Le
destin
est
entre
nos
mains,
faut
tout
gagner
Machozi
mingi
tuna
liya
kuna
wale
ambao
hawaendi
poa
sababu
ya
misingi,
kuvaa
hatu
vae
vizuri
sababu
ya
misingi,
kukula
hatu
kuli
vizuri
sababu
ya
misingi,
On
a
traversé
l'enfer,
on
est
restés
debout
La
malédiction
se
brise
sous
le
la
force
de
Dieu
de
Mulindwa
Jules,
Hatutaki
tena
misingi
yenu
maisha
mabaya
tuna
kataa,
wa
tate
hatu
wataki
tena
On
brise
les
chaines,
on
laisse
tout
derrière
Tuna
vunza
kamba
za
laana
ya
wazazi,
hatutaki
maisha
haya
tunayoyaona,
On
cherche
la
lumière,
misingi
ooooh
misingi
hatutaki
tena,
misingi
ooooh
misingi
hatutaki
tena,
C'est
maintenant,
on
cherche
la
lumière,
tuna
taka
mabadiliko
bora
ndani
ya
kristo
aliye,
misingi
ooooh
misingi
hatutaki
tena,
misingi
ooooh
misingi
hatutaki
tena!
Ouais,
brise
les
chaines,
les
enfants
de
Dieu
vivant
On
est
libres,
on
est
vivants
Mwisho
wa
mateso
ya
kuzaliwa
katika
familia
ya
waovu
Yeah,
c'est
fini,
on
recommence
tout,
ooh
Kristo
aliye
hai,
baraka!