(Eeh
baba...) (
Mambo
vipi...)
Shakila,
mbona
umenitendea
hivi? (
Mambo
vipi...)
Shakila,
mbona
umenitendea
hivi? (
Inaniuma,
inaniuma
sana...)
Asante
kwa
kuniumiza,
ulivyo
nitesa
Ulinifanya
nimsahau
Tatu,
nikakupa
nafasi
Upendo
wote
kwako,
nikaweka
rehani
Sasa
ni
nani,
atayeweza
kunisahaulisha?
Kinachoniumiza
si
kwamba
una
mwingine
Kinachoniumiza
ni
uongo
wako
mtupu
Nilikuuliza,
ukanikataa
mbele
yangu
Nikaja
kuthibitisha
mwenyewe,
oh
mama
Ukamtetea
yeye,
dhidi
yangu
mimi
Ishara
kwamba
unampenda,
hutaki
kumpoteza
Eti
ni
bodaboda
wako,
eti
business
partner
Lakini
unamfulia,
unampikia,
unamhudumia
Imma
ana
mke
wake,
mbona
unajidhalilisha?
Kama
ungeniambia
ukweli
tangu
mwanzo
Ningejua
mahali
ninaposimama,
ningeondoka
Lakini
ulipenda
kucheza
na
akili
yangu
Sasa
umeniacha
peke
yangu,
na
maumivu.
Kinachoniumiza
si
kwamba
una
mwingine
Kinachoniumiza
ni
uongo
wako
mtupu
Nilikuuliza,
ukanikataa
mbele
yangu
Nikaja
kuthibitisha
mwenyewe,
oh
mama
Shakila,
nimechoka,
nimeumia
sana (
Safi...)
Maisha
yanaendelea,
bila
wewe (
Kali...)
Kwaheri
mpenzi,
kwaheri.