(Yeah,
yeah) (
Sina
wasiwasi) (
Ni
wewe
tu,
Bwana) (
Mungu
mwaminifu)
Sina
wasiwasi
nawe
Ninakujua
u
Mwaminifu
Sina
wasiwasi
nawe
Ninakujua
u
Mwaminifu
Uliyetenda
wakati
ule
Utatimiza
yaliyo
mbele
Ninakotoka
Baba
ni
mbali
Ila
Mimi
sikutahayari
Kila
wakati
nilipokuhitaji
Rafiki
Mwema
haukua
mbali
Nimepita
mabonde
na
milima
Ila
mkono
wako
ukanishika
Sijawahi
kuona
aibu
Maana
wewe
ni
Mungu
wa
ajabu
Baba
U
Mwaminifu
utatimiza
yaliyo
mbele
eeh
Baba
U
Mwaminifu
utatimiza
yaliyo
mbele
eeh
Sina
hofu
moyoni
mwangu
Maana
uko
upande
wangu
Baba
U
Mwaminifu
utatimiza
yaliyo
mbele
eeh
Moyoni
mwangu
daima
nilifurahi
Sababu
yako
wewe
Mchungaji
Damu
yako
Yesu
ilinihifadhi
Hivyo
hata
ya
mbele
Mimi
sina
wasiwasi
Kama
ulivyoanza
utamaliza
Kila
hila
za
adui
nitashinda
Neno
lako
ni
taa
ya
miguu
yangu
Linaniongoza
katika
njia
za
ushindi
Sitatafuta
msaada
kwingine
Maana
wewe
ni
utoshelevu
wangu
Baba
U
Mwaminifu
utatimiza
yaliyo
mbele
eeh
Baba
U
Mwaminifu
utatimiza
yaliyo
mbele
eeh
Sina
hofu
moyoni
mwangu
Maana
uko
upande
wangu
Baba
U
Mwaminifu
utatimiza
yaliyo
mbele
eeh
Leo
mbele
zako
baba
nasogea
Kwa
Moyo
wangu
wote
ninakuamini
Unanijua
utanijia
unijali
Mimi
sina
wasiwasi
Maana
Neno
lako
limeniahidi
Wakutafutao
hawatahitaji
kitu
chema
El
Shaddai,
ndiwe
utoshelevu
wangu
Alethinos
kamwe
husemi
uongo
Baba
U
Mwaminifu
utatimiza
yaliyo
mbele
eeh
Baba
U
Mwaminifu
utatimiza
yaliyo
mbele
eeh
Sina
hofu
moyoni
mwangu
Maana
uko
upande
wangu
Baba
U
Mwaminifu
utatimiza
yaliyo
mbele
eeh
Sina
wasiwasi (
Sina
wasiwasi)
Utatimiza
yote (
Utatimiza
yote)
U
Mwaminifu (
U
Mwaminifu)
Nakuamini
Bwana (
Nakuamini)
Sina
wasiwasi (
Sina
wasiwasi)