(Aah,
eeh!)
Oh,
Mungu
mwema
Sifa
zote
ni
zako (
Hallelujah!)
Sijaona
mwengine
kaka
Wewe
Sijawahi
kusikia
mwengine
kaka
Wewe
Katika
shida
na
raha
ulinishika
Kwa
kila
hatua
wewe
uliniongoza
Ulinitoa
gizani,
ukanileta
nuruni
Sifa
zangu
zote,
nazimimina
kwako
Ni
Wewe
tu,
uliye
kwa
Uliye
pia
utakaye
kuwa
daima
Bwana
wa
mabwana,
Mfalme
wa
milele
Ni
Wewe
tu,
tegemeo
langu
Ni
Wewe
tu,
uzima
wangu (
Praise
God!)
Nikitazama
nyuma,
naona
mkono
wako
Ulinipigania
wakati
nilipoanguka
Upendo
wako
hauna
mwisho
Uaminifu
wako
ni
mkuu
kila
asubuhi
Sioni
mwingine,
sitatafuta
mwingine
Maana
wewe
umenitosheleza
Ni
Wewe
tu,
uliye
kwa
Uliye
pia
utakaye
kuwa
daima
Bwana
wa
mabwana,
Mfalme
wa
milele
Ni
Wewe
tu,
tegemeo
langu
Ni
Wewe
tu,
uzima
wangu
Utukufu
na
heshima
Vyote
ni
vyako
Bwana
Umetenda
makuu,
umetenda
mema (
Glory!
Glory!)
Umevunja
minyororo,
umenipa
uhuru
Kila
pumzi
niliyopewa
Ni
ushuhuda
wa
wema
wako
kwangu
Nitakuimbia,
nitakusifu
milele
Maana
wewe
ni
Mungu
wa
kweli
Hakuna
mwingine
kama
wewe,
Bwana (
Amen!)
Ni
Wewe
tu,
uliye
kwa
Uliye
pia
utakaye
kuwa
daima
Bwana
wa
mabwana,
Mfalme
wa
milele
Ni
Wewe
tu,
tegemeo
langu
Ni
Wewe
tu,
uzima
wangu
Ni
Wewe
tu,
daima
Uliye
mwaminifu (
Asante
Yesu!)
Ni
Wewe
tu,
milele
na
milele (
Hallelujah,
amen!)