Frobits
🎵 A song made on Frobits

La Victoire de Joseph

0:000:00
Download
Reply with a song
Lyrics

[male

vocals] (

Guitar

chords

strumming,

light

percussion

building

up)

Oui,

wakati

yangu

imefika.

Regardez

bien,

l'homme

que

vous

avez

négligé.

Leo

Mungu

ame

mu

inuwa

zaidi.

Wali

ni

sahau

waka

ni

tupa,

ili

nisi

onekane

tena,

nilikuaka

sawa

Youssouf

ndani

ya

vita

kali

pamoja

na

mkewe

potifari

On

marchait

sur

mes

rêves,

walitembelea

juu

ya

ndoto

zangu,

wakafunga

mwanga

wangu

Mais

le

destin

préparait

mes

grands

pas,

lakini

kesho

yangu

hawakujua

kama

ni

fumbo,

Maisha

nikama

barua

usiyo

jua

nini

ipo

ndani,

maisha

yangu

yote

nilitupwa

nika

semewa

sana

na

watu,

kumbe

Mungu

alikua

na

mpango

na

mimi

Ona

sasa

muliye

mzarau (

ame

pata

heshima)

muliye

mucheka (

amepata

heshima)

Le

respect

est

là,

nime

amini

Mungu

ana

tengenezaka,

tena

ana

heshimishaka,

Dieu

m'a

sorti

de

l'ombre,

regardez

ma

gloire

Ame

nitendea

mema

oh

oh

Siwezi

kuficha,

upendo

wake

Mungu

niwa

ajabu,

Leo

mimi

nime

itwa

kwa

jina

nyingine,

jina

ya

mazarau

imepita

oh

oh

nime

pata

heshima

Wame

jiuliza

kwanini

ime

kuwa

ivyo (

wamebaki

waki

shangaa!)

Nani

anaweza

kunyamaza

kimya

akiguswa

na

Mungu,

bartelemayo

alikuwa

kipofu

siku

nyingi

sana,

alipo

guswa

na

Mungu

haku

nyamaza

kimia

alitangaza

mji

mzima,

leo

nime

shuudia

mema

ya

Mungu

dunia

nzima

walijua

maisha

yangu,

yooote

ime

piiita

sasa

mimi

niko

huru,

mateso

sijui

tena,

kulala

njaa

sijui

tena,

kutembea

uchi

sijui

tena,

kukula

ovyo

sijui

tena,

C'est

le

temps

de

la

récolte,

le

temps

de

semer

La

joie

est

devenue

ma

seule

destinée

Ona

sasa

muliye

mzarau (

ame

pata

heshima)

muliye

mucheka (

amepata

heshima)

Le

respect

est

là,

nime

amini

Mungu

ana

tengenezaka,

tena

ana

heshimishaka,

Dieu

m'a

sorti

de

l'ombre,

regardez

ma

gloire

Ame

nitendea

mema

oh

oh

Siwezi

kuficha,

upendo

wake

Mungu

niwa

ajabu,

Leo

mimi

nime

itwa

kwa

jina

nyingine,

jina

ya

mazarau

imepita

oh

oh

nime

pata

heshima

Kama

lazar

kaburini

ilipita

siku

ine

watu

wali

zani

yake

imekwisha,

hawakujua

Mungu

anataka

kuwa

shangaza

apana

kuzarau

mutu

kwasababu

hujui

Mungu

iko

na

mpango

gani

naye

Ana

lokotaka

mavumbini

anapandishaka

juu,

watu

wameona

pale

njo

mwisho

wako,

hawajui

pale

njo

kuko

ushindi

wako,

hakuna

anayeweza

kuzuia

sauti

ya

Mungu

katika

maisha

ya

mtu,

lazaro

alisikia

sauti

ya

Mungu

katika

kaburi,

Danieli

alisikia

sauti

ya

Mungu

katika

shimo,

Youssouf

alisikia

sauti

ya

Mungu

katika

gereza,

namimi

Baraka

nime

isikia

sauti

yake

maishani

mwangu

ame

nigusa,

Ne

baissez

jamais

les

bras,

gardez

la

foi

La

lumière

finit

toujours

pour

gagner

l'obscurité

Ona

sasa

muliye

mzarau (

ame

pata

heshima)

muliye

mucheka (

amepata

heshima)

Le

respect

est

là,

nime

amini

Mungu

ana

tengenezaka,

tena

ana

heshimishaka,

Dieu

m'a

sorti

de

l'ombre,

regardez

ma

gloire

Ame

nitendea

mema

oh

oh

Siwezi

kuficha,

upendo

wake

Mungu

niwa

ajabu

Leo

mimi

nime

itwa

kwa

jina

nyingine

jina

ya

mazarau

imepita

oh

oh

nime

pata

heshima

Oui,

c'est

ma

victoire.

Baraka

Le

respect

est

total.

Oui,

c'est

ma

victoire.

Baraka

Le

respect

est

total.

Oui,

c'est

ma

victoire.

Baraka

Le

respect

est

total. (

Fade

out

with

vibrant

guitar

and

percussion

solo)

C'est

ma

vie,

c'est

mon

jour.

Victory.

More songs by baraka Listen to songs created by others
FROBITS