[male
vocals] (
Guitar
chords
strumming,
light
percussion
building
up)
Oui,
wakati
yangu
imefika.
Regardez
bien,
l'homme
que
vous
avez
négligé.
Leo
Mungu
ame
mu
inuwa
zaidi.
Wali
ni
sahau
waka
ni
tupa,
ili
nisi
onekane
tena,
nilikuaka
sawa
Youssouf
ndani
ya
vita
kali
pamoja
na
mkewe
potifari
On
marchait
sur
mes
rêves,
walitembelea
juu
ya
ndoto
zangu,
wakafunga
mwanga
wangu
Mais
le
destin
préparait
mes
grands
pas,
lakini
kesho
yangu
hawakujua
kama
ni
fumbo,
Maisha
nikama
barua
usiyo
jua
nini
ipo
ndani,
maisha
yangu
yote
nilitupwa
nika
semewa
sana
na
watu,
kumbe
Mungu
alikua
na
mpango
na
mimi
Ona
sasa
muliye
mzarau (
ame
pata
heshima)
muliye
mucheka (
amepata
heshima)
Le
respect
est
là,
nime
amini
Mungu
ana
tengenezaka,
tena
ana
heshimishaka,
Dieu
m'a
sorti
de
l'ombre,
regardez
ma
gloire
Ame
nitendea
mema
oh
oh
Siwezi
kuficha,
upendo
wake
Mungu
niwa
ajabu,
Leo
mimi
nime
itwa
kwa
jina
nyingine,
jina
ya
mazarau
imepita
oh
oh
nime
pata
heshima
Wame
jiuliza
kwanini
ime
kuwa
ivyo (
wamebaki
waki
shangaa!)
Nani
anaweza
kunyamaza
kimya
akiguswa
na
Mungu,
bartelemayo
alikuwa
kipofu
siku
nyingi
sana,
alipo
guswa
na
Mungu
haku
nyamaza
kimia
alitangaza
mji
mzima,
leo
nime
shuudia
mema
ya
Mungu
dunia
nzima
walijua
maisha
yangu,
yooote
ime
piiita
sasa
mimi
niko
huru,
mateso
sijui
tena,
kulala
njaa
sijui
tena,
kutembea
uchi
sijui
tena,
kukula
ovyo
sijui
tena,
C'est
le
temps
de
la
récolte,
le
temps
de
semer
La
joie
est
devenue
ma
seule
destinée
Ona
sasa
muliye
mzarau (
ame
pata
heshima)
muliye
mucheka (
amepata
heshima)
Le
respect
est
là,
nime
amini
Mungu
ana
tengenezaka,
tena
ana
heshimishaka,
Dieu
m'a
sorti
de
l'ombre,
regardez
ma
gloire
Ame
nitendea
mema
oh
oh
Siwezi
kuficha,
upendo
wake
Mungu
niwa
ajabu,
Leo
mimi
nime
itwa
kwa
jina
nyingine,
jina
ya
mazarau
imepita
oh
oh
nime
pata
heshima
Kama
lazar
kaburini
ilipita
siku
ine
watu
wali
zani
yake
imekwisha,
hawakujua
Mungu
anataka
kuwa
shangaza
apana
kuzarau
mutu
kwasababu
hujui
Mungu
iko
na
mpango
gani
naye
Ana
lokotaka
mavumbini
anapandishaka
juu,
watu
wameona
pale
njo
mwisho
wako,
hawajui
pale
njo
kuko
ushindi
wako,
hakuna
anayeweza
kuzuia
sauti
ya
Mungu
katika
maisha
ya
mtu,
lazaro
alisikia
sauti
ya
Mungu
katika
kaburi,
Danieli
alisikia
sauti
ya
Mungu
katika
shimo,
Youssouf
alisikia
sauti
ya
Mungu
katika
gereza,
namimi
Baraka
nime
isikia
sauti
yake
maishani
mwangu
ame
nigusa,
Ne
baissez
jamais
les
bras,
gardez
la
foi
La
lumière
finit
toujours
pour
gagner
l'obscurité
Ona
sasa
muliye
mzarau (
ame
pata
heshima)
muliye
mucheka (
amepata
heshima)
Le
respect
est
là,
nime
amini
Mungu
ana
tengenezaka,
tena
ana
heshimishaka,
Dieu
m'a
sorti
de
l'ombre,
regardez
ma
gloire
Ame
nitendea
mema
oh
oh
Siwezi
kuficha,
upendo
wake
Mungu
niwa
ajabu
Leo
mimi
nime
itwa
kwa
jina
nyingine
jina
ya
mazarau
imepita
oh
oh
nime
pata
heshima
Oui,
c'est
ma
victoire.
Baraka
Le
respect
est
total.
Oui,
c'est
ma
victoire.
Baraka
Le
respect
est
total.
Oui,
c'est
ma
victoire.
Baraka
Le
respect
est
total. (
Fade
out
with
vibrant
guitar
and
percussion
solo)
C'est
ma
vie,
c'est
mon
jour.
Victory.