Usiku wa manane, taa zimefifia,
Jazz inatulia, roho inajua.
Lakini kuna neno, linaniletea tabasamu,
Unapotamka, linafika kama kigugumizi, mmm.
Tedy nakupenda, nakupenda sana, NAMI Leo nakwambia tu ukweli nakupenda zaidi yako unajua vile nakupenda , my love mh mh mh umekuwa mlinzi wangu Kila ninapokuwa na wewe
Kwenye pendo letu, moshi unacheza pole,
Nilikunong'oneza, kwa sauti ya kilele.
Hata mpiga piano, alitabasamu kidogo,
Kusikiliza jinsi unavyotamka jina lako my love P, a a a TI TI TI TI TI TI
Mmmmmmhhhhh ti ti ti My love P tedy anakupenda usisahau hilo