Frobits
🎵 A song made on Frobits

Letter to Darlia (Remix)

0:000:00
Download
Make your own song
Lyrics

[male

vocals] (

Gentle

acoustic

oud

melodies

drifting

over

a

steady,

light

coastal

percussion)

Mpendwa

Salima,

Salam!

Salamu

ninakutumia,

zavuka

mawimbi

ya

bahari,

Nina

shauku

kubwa

kukujulisha

jinsi

moyo

wangu

unavyohisi

kuuona

mkono

wako

wa

ukombozi.

Nina

shauku

ya

kuandika

na

kukushukuru

kwa

kunitupia

kamba

na

kunitoa

katika

shimo

refu

nilililozikwa

nikiwa

hai.

Nimekubali

kuwa

mateka

chini

yako,

huu

ni

ukweli

thabiti

kwangu.

Uwepo

wako

kwangu

umenifanya

niamini

kuwa

mfu

anaweza

kufufuliwa

na

kuishi

katika

dunia

nyingine.

Nimefufuka.

Nimefufukia

katika

ngome

yako,

nimeafiki

mapigo

ya

midundo

ya

ngoma

yako.

Kama

hili

litakuwa

kosa,

basi

wacha

iwe.

Nimekubali

kosa

na

nipo

tayari

kuadhibiwa

kwa

hili

nitendalo.

Nina

furaha

isiyoneneka

kukubali

kuwa

mtumwa

chini

yako,

katu

sitalijutia

kosa

hili.

Nitume

nikutumikie.

Nina

furaha

isiyoelezeka,

lazima

nitafurahia,

nitafurahia

uzuri

wa

uumbaji

wa

Mwenyezi

Mungu,

nitafurahia

zawadi

adhimu

ya

jina

lako

katika

maisha

yangu,

nitakufurahia

wewe

na

tumbo

lililokuzaa…..

wewe

ni

mshindi

na

shujaa

uliyeishinda

himaya

yangu.

Chambilecho

wahenga, “

kijakazi

msifadhila

haimfai

nyumba

ya

bwana

wake”………

Kwangu

hili

ni

bayana

lisilo

ajizi,

siwezi

kulipinga.

Dhamiri

yangu

inaupokea

na

kuuafiki

ukweli

huu

bila

walakini

yoyote.

Niko

mbele

yako,

najitolea

nafsi

na

hisia

zangu,

najitolea

maisha

yangu

kwako.

Wewe

ni

kurunzi

linalomulika

mapito

yangu

yenye

ukungu

mzito.

Ni

njia

iliyo

mororo

kuelekea

furaha

ya

maisha

yangu,

umetengua

vifungo

vya

uhuru

wa

nafsi

yangu.

Nitafurahia

hili

leo

na

kila

siku

nitafurahia……

nitafuarahia……..

Nitafurahia

kwa

sababu:

Mimi

ni

mja

niliyeonja

adha

ya

dhiki

Niliyechapwa

fimbo

ya

ghadhabu

na

mateso

Niliyechapwa

viboko

vya

macho

Mbele

sikuona!

Nilishikwa

na

mtesi,

jambazi

asiye

na

huruma

Aliniburuza

katika

makorongo

na

mawe

Akanitupa

katikati

ya

uwanda

na

wanyama

wakali.

Haikuwa

sekunde,

haikuwa

dakika,

haikuwa

saa

Haukuwa

mchana,

haukuwa

usiku

Hakutaka

kunihurumia.

Katika

shingo

yangu

alikunja

magoti

yake

Akanishinda

kwa

kutumia

mabavu

na

nguvu

zake

Hakujali

sauti

na

kilio

changu

Kwamba

pumzi

imeniishia

Siwezi

kupumua

tena!

Kisu

cha

moto

kilikwaruza

fundo

za

koromelo

langu

Nilivuja

damu

katika

mtima

wangu.

Nilikuwa

kama

mfu

ninayepumua

Nilikuwa

mfu

ninayemtazama

mtesi

wangu

Kama

mbuzi

wa

kafara,

sikuacha

kulia.

Alinizinga

mashariki

na

magharibi

Kusini

na

Kaskazini

Katikati

ya

anga

sikuona

mwanya

wa

kutokea

Nilifungwa

pingu

nzito

mikononi

mwangu

Hima

nililia

na

kuomba

usaidizi

Nani

aliyejali?...

lah!

Nilitanga

kama

mbuzi

anayetolewa

roho!

Nililia

kwa

machozi

jasho

na

damu

Hakuna

aliyejali

sauti

na

wangu

uchungu

Mtesi

na

ujahili

wake

alipamba

moto.

Alinizinga

kama

mnyama

afaaye

kwa

kitoweo

Aliziba

njia

zangu

zote

kushoto

na

kulia

Kwangu

ilikuwa

ni

kama

kifaranga

Aliyeachwa

na

mamaye

Nilifanywa

mkiwa.

Aliyatoa

makucha

yake

Yaliyokuwa

ndani

ya

maficho

asilia

Akaing’

ofowa

nyamangu

Nilikuwa

kituko

mbele

ya

dunia

Nilikuwa

aibu

isiyofichika

Nilijazwa

uchungu!

Nikajuta!

Ndoto

zangu

zote

zilizimika

Ni

zamani

za

ujinga

wangu

Kabla

macho

yangu

hayajaishika

sura

yako

Kabla

nafsi

yangu

haijaonja

utamu

wa

pendo

lako

Kabla

akili

yangu

haikuteua

jina

lako

katika

kamusi

la

dunia

Sikujua

kama

ningecheka

tena!

Uwepo

wako

kwangu

Umeifufua

pumzi

yangu

iliyozizima

Umeniwekea

nafsi

mpya

ndani

yangu

Umenipa

sababu

ya

kujiona

mtu

miongoni

mwa

watu

Umeifanya

nafsi

yangu

kuwa

rafiki

wa

amani

Mimi

si

takataka

tena

Mimi

si

kinyaa

tena

Mimi

si

kikaragosi

cha

wasiojua

thamani

ya

kupenda

Kwa

hili…….!

Nikijisahau

Nikashindwa

kukushukuru

Nitapigwa

kofi

la

anguko

takatifu

Nitapigwa

anguko

la

Firauni

Nitapigwa

upofu

na

kiza

kitanishinda

Nitawaudhi

mizimu

na

malaika

Kwa

kukosa

fadhila!.....

Nakushukuru!

Ndimi

nikupendaye,

Wahubani

mpenzi

wako.

More songs by NJOGOPA Listen to songs created by others
FROBITS