(Eeh baba, twende)
Isiwe na mambo mengi
Safi sana, eeh!
Bwana amefanya kwa urahisi
Kwa akili za mwanadamu sio rahisi
Bwana amefanya kwa urahisi
Kwa akili za mwanadamu sio rahisi
Yani kila kitu sawa
Uchumi sawa, yani kila kitu sawa
Akili sawa, yani kila kitu sawa
Na afya sawa, yani kila kitu sawa
Mwanzoni sikujua
Kwamba kwa Yesu kuna amani
Nikapotea ooooh
Na kama ningejua
Kumbe kwa Yesu kuna raha zote za dunia
Oooh hoooo!
Ni yeye kanibless
Ameondoa mastress
Mambo yangu mepesi
Uyu Mungu kanibless
Ameondoa mastress
Yani kila kitu sawa
Uchumi sawa, yani kila kitu sawa
Akili sawa, yani kila kitu sawa
Na afya sawa, yani kila kitu sawa
Kila kitu sawa, Mungu mwema
Safi, safi!
Twende, eeh baba
(Hallelujah!)
Kila kitu ni sawa sasa