Frobits
🎵 A song made on Frobits

Twende Remix

0:000:00
Download
Reply with a song
Lyrics

Yes mmh aye Ni mwarabu kwenye hii tena

Lets do this..

Weka volume juu, twende sasa!

Kipaji changu kinang'aa kama jua,mchana

Nimekuja na hii tena, hakuna kulala.

Kila beat ninaipa nafasi, na nikitoa,

Wimbo huu utakuwa stori ya mtaa.

Ngoja niseme najua, hawaoni kinachokuja,

Mimi niko hapa nitatoa tu ngoma kwajili yangu na wanangu wa damu, na wala sifati mkumbo wa wengi acha muda utaongea eeeh mmh

Mziki mpya, ngoma kali, unatetema,

Tuimbe wote, tusisite, hadi kieleweke wanangu

Kila kona natamani wasikie good music waenjoy life is short,'

Na fikra yangu inajaza kila nafasi.

Wana-dance, wanashangaa, hawajawahi ona nafanya hii tena tuenjoy na itasambaa

Hii track ni bomu, inaishi moyoni muulize hata Komu.

Ndio maana nasema, usisubiri kesho, enjoy leo kesho ni ahadi tusiyoijua wanangu

Mziki huu ni zawadi, kwa wote na sasa tutaimba pamoja eh!.

Asante kwa wanagu wote mnaosapoti, tupige kazi tufurahi umasikini unachosha eeh

Mziki mpya, ngoma kali, unatetema,

Tuimbe wote, tusisite, hadi kieleweke wanangu wa damu

Good sound new melody it's happening right now

Tuimbe sasa!

Eeh! Hii ni yetu sote

Ni mwarabu nimekuja na hii tena Asanteeee..

More songs by Bonny Listen to songs created by others
FROBITS