(oooooh ma adui wana nizunguka) asubuhi imekuwa le soleil se lève mes ennemis m'entourent
Malgré le bruit, mon âme cherche la paix
Kristo uwe upande wangu, (Barakaa amani !)
Moyo wangu uko katika vita kali
Nime ona ma adui wakiwa kwenye viwanja vya vita nami, nime baki kimia niki tazama mbingu,
Des ennemis tournent autour de ma maison
Wakitaka kujua na kuchunguza maisha yangu, ils cherchent la raison
Mais je marche droit, la tête vers le ciel
Sita ogopa kitu, imani yangu najua Mungu hawezi kuiacha nafsi yangu iangamie
Oh nita shinda, na baki kimia
Acha waongee, mwisho wata choka
Mon cœur est dans la solitude, c'est vrai
Moyo wangu hauta ogopa kwa neema ya kristo wa kongo, na baki kimia wote wata pata haya
(Sita ogopa!)
Bazo luka na kweya po basepela mingi, ils attendent mon chute
Ils frappent à ma porte, sijue wanataka nini kwangu
Mais je connais Dieu est avec moi, najua njia zangu zote Mungu hawezi kuniacha katika vita hivi
Je ne tends plus la main à ceux qui n'ont rien
Ukimia wangu nikama una nipa mengi zaidi, je danse dans mon cœur
Lopango est sacré, ici règne Dieu
Oh nita shinda, na baki kimia acha waongee, mwisho wata choka
Mon cœur est dans la solitude c'est vrai
Moyo wangu hauta ogopa kwa neema ya kristo wa kongo, na baki kimia wote wata pata haya
(Wata baki waki shangaa!)
Sauti yao nikama kelele masikioni mwangu, nimefunga sikio nisi si kie mambo yao, mimi ni wa juu sana ndio maana wana ni piga vita
Mimi huyu siko peke yangu, je ne suis pas seul au monde
La force de Dieu m'entoure, une force qui féconde
La vie est un combat, maisha ni vita ni napo pata muna inua vikwazo na tumika kila siku napata kidogo Mungu ananipa kwenu ni vibaya,
Na ji amini sana nime funga mlango ya mambo isiyo na maana sitaki marafiki wengi kwani warafiki wengi huongeza chuki na tamaa na fitina nime chagua Kristo wa Kongo alie hai awe kwangu msaada kwani ndie rafiki mwema sana kwangu
Je garde mon sourire, c'est ma seule défense
La solitude est calme, loin de leur arrogance
Oh nita shinda, na baki kimia acha waongee mwisho wata choka,
Laisse les parler, ils sont si fragiles
Mon cœur est dans la solitude, c'est vrai
Lakini kwa neema ya kristo wa kongo na baki kimia wote wata pata haya
(Ayy, baraka!)
Le calme après la tempête
Je reste debout, la paix dans la tête
Apotre jafete, maman Florence acha maadui wenu wata shangaa
(Baraka, baraka)
On est là, pour toujours, Hatuta ogopa maneno ya batu toko kipa bango tee tika baloba merciiii!