[male vocals] Bwana,
twende!
Ee
Mungu
wangu,
pokea
sifa
zangu
leo.
Ee
Mungu
unirehemu,
sawasawa
na
fadhili
zako,
Kiasi
cha
wingi
wa
rehema,
uyafute
makosa
yangu.
Unioshe
kabisa
na
uovu
wangu,
unitakase
dhambi,
Maana
nimejua
makosa
yangu,
na
dhambi
yangu
iko
mbele
daima.
Nimekutenda
dhambi
Wewe
pekee,
maovu
mbele
za
macho
yako,
Wewe
ujulikane
una
haki
unenapo,
safi
utoapo
hukumu.
Ee
Mungu,
uniumbie
moyo
safi,
Uifanye
upya
roho
iliyotulia
ndani
yangu.
Usinitenge
na
uso
wako,
wala
Roho
Mtakatifu
usiniondolee,
Unirudishie
furaha
ya
wokovu
wako,
unitegemee
kwa
roho
ya
wepesi.
Tazama
mimi
naliumbwa
katika
hali
ya
uovu,
Mama
yangu
alinichukua
mimba
hatiani,
Lakini
Wewe
wapendezwa
na
kweli
iliyo
moyoni,
Nawe
utanijulisha
hekima
kwa
siri,
nisafishe
kwa
hisopo.
Nitakuwa
safi,
unioshe,
nitakuwa
mweupe
kuliko
theluji,
Unifanye
kusikia
furaha
na
shangwe,
mifupa
iliyoponda
ifurahi.
Ee
Mungu,
uniumbie
moyo
safi,
Uifanye
upya
roho
iliyotulia
ndani
yangu.
Usinitenge
na
uso
wako,
wala
Roho
Mtakatifu
usiniondolee,
Unirudishie
furaha
ya
wokovu
wako,
unitegemee
kwa
roho
ya
wepesi.
Usitiri
uso
wako
usitazame
dhambi
zangu,
uzifute
hatia
zote,
Ee
MUNGU
wa
wokovu
wangu,
uniponye
na
damu
za
watu,
Ulimi
wangu
utaiimba
haki
yako,
Bwana
uifumbue
midomo
yangu,
Kinywa
changu
kitazinena
sifa
zako,
kwa
utukufu
wako
mkuu.
Hupendezwi
na
dhabihu,
au
ningeitoa
kwako,
Wewe
huridhii
sadaka
ya
kuteketezwa
pekee,
Dhabihu
za
Mungu
ni
roho
iliyovunjika,
Moyo
uliovunjika
na
kupondeka,
Wewe
hutaudharau.
Uitendee
mema
Sayuni
kwa
radhi
yako,
ujenge
kuta
za
Yerusalemu,
Ndipo
utakapopendezwa
na
dhabihu
za
haki
na
kafara.
Ee
Mungu,
uniumbie
moyo
safi,
Uifanye
upya
roho
iliyotulia
ndani
yangu.
Usinitenge
na
uso
wako,
wala
Roho
Mtakatifu
usiniondolee,
Unirudishie
furaha
ya
wokovu
wako,
unitegemee
kwa
roho
ya
wepesi.
Ee
Mungu,
uniumbie
moyo
safi.
Twende,
sifa
zako
Bwana.
Roho
iliyotulia,
daima
ndani
yangu.
Bongo,
twende!