Frobits
🎵 A song made on Frobits

Mungu Funguafungua

0:000:00
Download
Make your own song
Lyrics

[male vocals] Ooo

haleluya,

tunainua

mikono

Yesu

tunakuita,

uone

mateso

ya

vijana

Mafundi

na

vikarai

wa

Mjuni

Siku

zinaenda,

miaka

inakwenda

Bado

vikarai

mikononi,

hatuna

hata

kiwanja

Tunajikadilia

wenyewe,

tunajipa

moyo

Lakini

hali

zetu

hazieleweki,

tunalia

mbele

zako

Bwana

fungua

njia,

Mungu

wa

baraka

Vijana

wa

Mama

Jema

wanangoja

miujiza

Tunataka

nyumba,

tunataka

kesho

bora

Ondoa

aibu,

leta

utukufu

wako

Yesu

tunakuita,

tubadilishe

hatima

Jamani

mama

yangu,

mbona

hali

ngumu?

Achilia

mbali

kiwanja,

hata

bikoni

hatuna

Vijana

wanalala

sebureni

kama

baiskeli

Kama

mtungi

wa

gesi,

tunabanana

kila

siku

Ni

lini

nasi

mambo

yatabadilika,

Bwana?

Bwana

fungua

njia,

Mungu

wa

baraka

Vijana

wa

Mama

Jema

wanangoja

miujiza

Tunataka

nyumba,

tunataka

kesho

bora

Ondoa

aibu,

leta

utukufu

wako

Yesu

tunakuita,

tubadilishe

hatima

Tunachoka

kucheza

PS

na

mifuko

mitupu

Tunataka

kuoa,

tunataka

kuishi

vizuri

Sio

kugombea

maji,

sio

kuishi

kwa

kubahatisha

Simama

nasi,

uinue

kichwa

cha

kila

kijana

Asante

Yesu,

tunakuamini

wewe

tu

Maendeleo

hatuna,

tunaota

tu

ndoto

Lakini

Mungu

wangu,

wewe

ni

mkuu

kuliko

yote

Kama

ulivyomtoa

mwana

wa

maskini

Na

sisi

utatutoa,

utatupa

heshima

Tunangoja

saa

yako,

tunangoja

neema

yako

Bwana

fungua

njia,

Mungu

wa

baraka

Vijana

wa

Mama

Jema

wanangoja

miujiza

Tunataka

nyumba,

tunataka

kesho

bora

Ondoa

aibu,

leta

utukufu

wako

Yesu

tunakuita,

tubadilishe

hatima

Fungua

milango,

Yesu

uinuliwe

Amen,

haleluya,

tunapokea

baraka

Tunangoja

wakati

wako,

Asante

Mungu

Amen.

More songs by Love Listen to songs created by others
FROBITS