[male vocals] Kanairo!
Vile!
Manze!
Kanunka
Cranes
FC,
mmeshika
rada?
Ni
ya
wale
wabaya,
hatuna
huruma!
Kanunka
Cranes
FC,
clabu
mwecheche
Ni
ya
wale
wabaya,
hatuna
huruma
Ni
mapa
mapangale
siku
zote
Tunawashenyenda
pasi
zetu
hamtoboi
Cocharee,
Idriz
na
Man
Faboo
Hapo
mid
kuna
Sadala,
fanya
kazi
Kanunka
Cranes,
ni
noma
sana
Hii
soralo
itakuwa
mbaya,
hamtaweza
Tunawanyonga,
tutawamada,
msiulize
Kanunka
Cranes,
sisi
ni
mabingwa
Jamliko
mzee
wa
kazi,
Ramos
ndo
Capello
Shoti
za
Saika
na
Lanyor,
hamtaweza
Yani
ni
kama
za
Bati-Batistuta
Benardo
aka
Curbasi,
Samido
na
Pushati
Yusuf
ongezea
leky,
dribbles
za
Summerville
Kanunka
Cranes,
ni
noma
sana
Hii
soralo
itakuwa
mbaya,
hamtaweza
Tunawanyonga,
tutawamada,
msiulize
Kanunka
Cranes,
sisi
ni
mabingwa
Pale
nyuma
Doku
na
Cello
Nick
na
Salaah
ni
shugli
nzima
Alafu
Anderson
atawanyafura
Atawaka
atawasha
kwa
chuma
ni
Romano
Hatuna
huruma
kwa
uwanja,
tunadunda
Tao
nzima
inajua
mziki
ni
sisi
Kanunka
Cranes,
sisi
ni
moto
Msijaribu,
mtajipata
kwa
shida
Kanunka
Cranes,
ni
noma
sana
Hii
soralo
itakuwa
mbaya,
hamtaweza
Tunawanyonga,
tutawamada,
msiulize
Kanunka
Cranes,
sisi
ni
mabingwa
Kanunka
Cranes,
yo!
Ni
shugli
nzima,
manze!
Tao
inajua,
Kanairo!
Sisi
ni
mabingwa,
hamtaweza!