Frobits
🎵 A song made on Frobits

Twende Mateka

0:000:00
Download
Make your own song
Lyrics

[male

vocals] (

Gentle

Ud

and

rhythmic

percussion

fade

in)

Twende

Mateka.

Wangu

kipenzi

jalia,

Leo

nakuandikia,

Kimya

kimenishindia,

Kulificha

hili

penzi.

Menishinda

kuzuia,

Huba

lilonifikia,

Nahofia

kuumia,

Mwishowe

n’

kate

pumzi.

Chonde

nipe

masikio,

Nikianza

na

pambio, ‘

Sijaribu

kula

mbio,

Ukanitwika

maudhi.

Ma’

na

nakosa

fahamu,

Tena

kubwa

yangu

hamu,

Kukushika

mnadhimu,

Kwa

bashasha

na

mapenzi.

Maungoyo

msichana,

Kila

ninapoyaona,

Moyo

wangu

wanikana,

Subira

kuipa

ngazi.

Myondoko

unayokwenda,

Mie

hali

yanishinda,

Moyo

mbiyo

wanidunda,

Nakuwa

jitu

chagizi.

Kidani

nakutunuku,

Kuifanya

tabaruku,

Huba

hili

silishuku,

Sitakufanya

ajizi.

Wazuri

ni

malaika,

Kwa

mola

wamesifika,

Nawe

kwangu

kadhalika,

Nimekupa

hiyo

hadhi.

Ewe

kwangu

mtukuka,

Kwao

wengi

walozuka,

Madaraja

umevuka,

Kwako

ninaweka

pozi.

Mahabani

nimefika,

Kooni

yamenifika,

Nyuma

kamwe

kugeuka,

Mwiko

huo

nauenzi.

Huba

hili

kulienzi,

Ni

wajibu

siyo

kazi, ‘

Takufanya

uwe

mwenzi,

Wa

faraja

na

maradhi.

Wanivuta

kwa

hisia,

Kufuata

yako

njia,

Mtima

umeridhia,

Uwe

wangu

mwandamizi.

Tamati

hapa

natua,

Mwisho

wa

hii

barua,

Wazo

niloligundua,

Twende

kwetu

kwa

wazazi.

Twandame

twende

Mateka,

Nawe

kijiji

tamka,

Nyumbani

ulikotoka,

Huko

tukapate

radhi.

Hili

jambo

ni

murua,

Baraka

kuzichukua,

Ni

adili

nilojua,

Katika

yangu

makuzi.

Mwishowe

unipe

tunda,

Kwa

shauku

ya

kupenda,

Na

moyo

ukaukanda,

Nisiwe

na

pingamizi.

Ndimi

wako

Mjamungu,

Nilotuma

hizi

fungu,

Kwako

wewe

Mbavuzangu,

Uliye

wangu

azizi.

More songs by NJOGOPA Listen to songs created by others
FROBITS