[male vocals] Siku
zote
mti
mzuri
Unaponzwa
na
tunda
lake
Uzuri
ulio
nao
unafanya
Wengi
wakutafe
Njoo
inikumbate
Wanga
tuwakate
mate
Nilipo
nawe
uwepo
Popote
mi
nikufate
Ingawa
kwenye
mapenzi
Kugombana
ni
michosho
Njoo
tuwe
pamoja
tufanye
malekebisho
Njoo
unidanganye
Kidole
kuitwa
kigosho
Yani
kama
mtoto
wa
kuku
Nikiamini
nitanyonya
kesho
Nakupenda
nakupenda
sogea
karibu
yangu
baby
Kama
unanipenda
Sintokutenda
we
wangu
Kokote
nakokwenda
we
ndo
chaguo
langu