Frobits
🎵 A song made on Frobits

Kaa Nami

0:000:00
Download
Make your own song
Lyrics

[solo lead vocal — no backing vocals, no harmonies, single vocal track only] Kaa

nami,

ni

usiku

tena;

Usiniache

gizani,

Bwana;

Msaada

wako

haukomi;

Nili

peke

yangu,

kaa

nami.

Siku

zetu

hazikawi

kwisha,

Sioni

la

kunifurahisha;

Hakuna

ambacho

hakikomi,

Usiye

na

mwisho

kaa

nami.

Nina

haja

nawe

kila

saa;

Sina

mwingine

wa

kunifaa;

Mimi

nitaongozwa

na

nani

Ila

wewe?

Bwana,

kaa

name.

Sichi

neno

uwapo

karibu;

Nipatalo

lote,

si

taabu;

Kifo

na

kaburi

haviumi;

Nitashinda

kwako,

kaa

nami.

Nilalapo

nikuone

wewe,

Gizani

mote

nimulikiwe;

Nuru

za

mbinguni

hazikomi,

Siku

zangu

zote

kaa

nami.

More songs by Mch Listen to songs created by others
FROBITS