(Mmm...
Yahweh)
Bwana
Yesu,
unisogeze
kwako (
Jesus...
oh,
I
need
you)
Natazama
mbele,
naona
Nuru
yako
inang'aa
Katika
giza
hili,
ni
wewe
pekee
unayeweza
niangaza
Nataka
nitoke
hapa
nilipo,
nije
kwenye
uwepo
wako
Badilisha
mtazamo
wangu,
nifanye
kuwa
chombo
chako
Unijaze
amani,
unijaze
upendo
wa
kweli
Maana
dunia
hii
inakosa
mwelekeo,
inakosa
kweli (
Draw
Me
near,
Bwana)
Unisogeze
karibu
yako,
unigeuze
nifananishwe
Mfano
wako,
unisogeze
karibu
na
Nuru
yako
Bwana
Yesu
unisogeze
kwako
Wewe
ndiwe
Nuru
ya
Ulimwengu,
Bwana
Yesu
Pasipo
wewe
Dunia
ni
Giza
ukiwa
tena
utupu
Wewe
ndiwe
Jua
la
haki,
pasipo
wewe
maisha
yangu
hayana
Nuru
yoyote
Nafungua
moyo
wangu,
ingia
ndani
utawale
Kila
wazo
langu,
kila
hatua
ni
wewe
uwe
kiongozi
Nafsi
yangu
inalia,
inatamani
uwepo
wako
Kama
vile
mtoto
anavyotafuta
kiganja
cha
baba
yake
Unioshe
kwa
damu
yako,
unipe
moyo
mpya
Nitembee
nuruni,
nisije
nikapotea
tena (
I
need
you,
yahweh)
Unisogeze
karibu
yako,
unigeuze
nifananishwe
Mfano
wako,
unisogeze
karibu
na
Nuru
yako
Bwana
Yesu
unisogeze
kwako
Wewe
ndiwe
Nuru
ya
Ulimwengu,
Bwana
Yesu
Pasipo
wewe
Dunia
ni
Giza
ukiwa
tena
utupu
Wewe
ndiwe
Jua
la
haki,
pasipo
wewe
maisha
yangu
hayana
Nuru
yoyote
Unigeuze
leo
baba
kwa
Roho
wako
Unibadilishe
ndani
nafanye
kua
mtu
mwingine
Nifurahishe
unihuishe
nikamilishe
Nifanane
na
Utukufu
wako
Bwana
Nifanane
na
Utukufu
wako
Bwana (
Oh,
nifananishe
na
wewe)
Kama
vile
jua
linavyochomoza
asubuhi
Nuru
yako
iangaze
ndani
ya
nafsi
yangu
kila
saa
Siwezi
kuishi
bila
wewe,
ni
kama
mti
usio
na
mizizi
Nishikilie,
Bwana,
nisiondoke
kwenye
njia
yako
Nijie
eeh
nyota
ya
alfajiri,
niwe
shuhuda
wa
Nuru
yako (
Yahweh,
mmm)
Unigeuze
unisogeze
Bwana
Niangaze
kwa
Nuru
za
uso
wako
Maana
ndiwe
Nuru
ing'aayo
gizani
wala
Giza
halikukuweza
kamwe
Uning'arishe
kama
Jua
Bwana
Nisogeze,
nisogeze
karibu
Unisogeze
karibu
Unisogeze
karibu (
Nisogeze
Bwana)
Karibu
na
Nuru
yako (
Nuru
yako
milele)
Bwana
Yesu,
unisogeze
kwako (
Yahweh,
oh)
Nisogeze
karibu.