Frobits
🎵 A song made on Frobits

Hakuna Kama Wewe

0:000:00
Download
Make your own song
Lyrics

Start with (FULL GOSPEL CHURCH NAYANAE ANGIKALALIO)
chorus
Ninashukuru, Ninashukuru, baba hakuna kama wewex2
Verse
Unanipigania,katika vita vyangu,unanipitisha kwenye moto,Kisha ninatoka nimeng'ara hakuna kama wewe
Verse 2
Nikiwa kwenye shida unanitoa,nikilemewa na dhambi unaniokoa,nikiwa Kwa maji unani vusha,hakuna kama wewe,
Verse 3
Wewe ni Mungu WANGU,mwokozi WA MAISHA ninayoishi,NGUVU ya roho yangu hakuna kama wewe.

More songs by Joseph Listen to songs created by others
FROBITS