Oh,
inua
macho
yako
juu
Worry
not,
amini
moyoni
mwako
Ni
nani
atakaye
tuviringishia
jiwe?
Ni
nani
atakaye
tuviringishia
jiwe?
Wale
kinamama
walijiuliza
sana
hili
swali
Hili
swali
zito
mbele
ya
safari
yao
Walipotaka
kwenda
kuupaka
mafuta
Mwili
wa
Yesu
pale
kaburini
Wakatazamana,
wakaulizana
sasa
tutafanyaje?
Ni
nani
atakaye
tuviringishia
jiwe?
Limekwisha
kuviringishwa,
he!
Limekwisha
kuviringishwa,
oh!
Kwa
imani
waliondoka
wakaenda
zao
Wakiwa
na
matumaini
mioyoni
mwao
Yesu
amefufuka,
mauti
imeshindwa
Limekwisha
kuviringishwa,
he!
Usiogope
mambo
ya
kesho
mwanangu
Usijiulize
sana
itakuaje
afya
yako
Kazi
yako,
mwenza
wa
maisha,
au
uzao
wako
Mungu
anaweza
mambo
yote
hapa
na
pale
Kama
jiwe
lilivyosogezwa
kwa
nguvu
zake
Ndivyo
atafungua
milango
yako
leo
Inua
imani
yako,
usikate
tamaa
El
emeth
yuko
kazini,
anapanga
njia
yako
Limekwisha
kuviringishwa,
he!
Limekwisha
kuviringishwa,
oh!
Kwa
imani
waliondoka
wakaenda
zao
Wakiwa
na
matumaini
mioyoni
mwao
Yesu
amefufuka,
mauti
imeshindwa
Limekwisha
kuviringishwa,
he!
Oh,
rise
up,
inuka
sasa!
Kila
jiwe
lililokuzuia
linaanguka
Kila
giza
lililokufunika
linaondoka
Kwa
maana
Bwana
ni
mkuu,
Bwana
ni
mwema
Amini
yeye,
usitazame
nyuma
tena
Kama
vile
walivyofika
na
kukuta
kaburi
wazi
Ndivyo
nawe
utashuhudia
miujiza
yake
Usijidanganye
kwa
hofu
ya
binadamu
Kwani
Mungu
yuko
upande
wako
siku
zote
Tembea
kifua
mbele,
ushindi
ni
wako
Baraka
zinakufuata
nyuma
yako
Just
laugh,
shikilia
tumaini
lako
Limekwisha
kuviringishwa,
he!
Limekwisha
kuviringishwa,
oh!
Kwa
imani
waliondoka
wakaenda
zao
Wakiwa
na
matumaini
mioyoni
mwao
Yesu
amefufuka,
mauti
imeshindwa
Limekwisha
kuviringishwa,
he!
Limekwisha
kuviringishwa,
he!
Easy
now,
amini
tu
Worry
less,
yote
yameisha
Yesu
amefufuka,
ni
mshindi
milele
Inua
imani,
tembea
kwa
amani.