[male vocals] Aha!
Aha!
Umeshaisikia
hii?
Kutoka
kwa
A.
Y
Bongo!
Twende!
Anavyotabasamu
ndipo
anaponipa
hamu
Sura
umbo
lake
basi
lanipa
wazimu
Nataka
kumfuata,
nahisi
atakataa
Naogopa
akinimwaga,
story
zitazagaa
Napenda
miondoko
yake,
tabia
yake
Umaskini
wangu
utanifanya
nisimpate
Yule,
anayesumbua
akili
yangu
Yule,
anayeumiza
moyo
wangu
Najua
hafahamu,
najua
hafahamu
Moyoni
mi
nabaki
na
mawazo
Lakini
kumwambia
ndo
siwezi
Anasumbua
akili
yangu,
ananipa
wazimu
Moyo
unadunda,
kwake
mi
sina
hatamu
Anasumbua
akili
yangu,
ananipa
wazimu
Moyo
unadunda,
kwake
mi
sina
hatamu
Tatizo
hajui,
bila
penzi
lake
maze
sijitambui
Mi
nitafanyeje,
hata
nikimuona
mdomo
unajaa
mate
No
no
no,
hapana
siwezi
kuvumilia
No
no
no,
penzi
hili
nataka
kumtolea
Napomuonaa,
pindi
tukikutana
Iwe
club,
kapozi
na
rafiki
zake
Anavyo
katakata
kiuno,
naona
mambo
Nafsi
inaniuma,
nataka
kusema
hapo
Anasumbua
akili
yangu,
ananipa
wazimu
Moyo
unadunda,
kwake
mi
sina
hatamu
Anasumbua
akili
yangu,
ananipa
wazimu
Moyo
unadunda,
kwake
mi
sina
hatamu
Mambo
vipi,
mpenzi
nambie
Kwanini
unanitesa,
moyo
unaniumia
Twende
zetu
Bongo,
tukapoteze
mawazo
Penzi
lako
tamu,
linanipa
msisimko
Najua
wengi
wanakutazama,
wanakupenda
Ila
mi
niko
tofauti,
nataka
kukupenda
Kutoka
moyoni,
bila
hofu
wala
wasiwasi
Njoo
kwangu
mpenzi,
uwe
wangu
wa
thamani
Maisha
ya
Dar,
yanatufundisha
kupambana
Ila
kwa
upande
wako,
nahitaji
kuzama
Anasumbua
akili
yangu,
ananipa
wazimu
Moyo
unadunda,
kwake
mi
sina
hatamu
Anasumbua
akili
yangu,
ananipa
wazimu
Moyo
unadunda,
kwake
mi
sina
hatamu
Anasumbua,
ananipa
wazimu
Aha!
Bongo!
Poa
sana,
twende!
Anasumbua
akili
yangu,
anasumbua!