Frobits
🎵 A song made on Frobits

Moyo Safi (Remix)

0:000:00
Download
Make your own song
Lyrics

[male vocals] Alleluia

Ee

Mungu

wangu,

pokea

sifa

zangu

leo.

Ee

Mungu

unirehemu,

sawasawa

na

fadhili

zako,

Kiasi

cha

wingi

wa

rehema

zako,

uyafute

makosa

yangu.

Unioshe

kabisa

na

uovu

wangu,

unitakase

dhambi,

Maana

nimejua

makosa

yangu,

na

dhambi

yangu

iko

mbele

yako

daima.

Nimekutenda

dhambi

MUNGU

wangu,

Wewe

ujulikane

una

haki

unenapo,

utoapo

hukumu

zako.

Ee

Mungu,

uniumbie

moyo

safi,

Uifanye

upya

roho

iliyotulia

ndani

yangu.

Usinitenge

na

uso

wako,

wala

Roho

Mtakatifu

usiniondolee,

Unirudishie

furaha

ya

wokovu

wako,

unitegemeze

kwa

roho

ya

wepesi.

Tazama

mimi

nakuabudu

wewe

ndiye

MUNGU

wangu

Nguvu

zangu

mwamba

wangu

Tena

Wewe

wapendezwa

na

kweli

iliyo

moyoni,

Nawe

utanijulisha

hekima

kwa

siri,

nisafishe

kwa

hisopo.

Nitakuwa

safi,

unioshe,

nitakuwa

mweupe

kuliko

theluji,

Unifanye

kusikia

furaha

na

shangwe,

mifupa

iliyopondeka

ifurahi.

Ee

Mungu,

uniumbie

moyo

safi,

Uifanye

upya

roho

iliyotulia

ndani

yangu.

Usinitenge

na

uso

wako,

wala

Roho

Mtakatifu

usiniondolee,

Unirudishie

furaha

ya

wokovu

wako,

unitegemeze

kwa

roho

ya

wepesi.

Usitiri

uso

wako

usitazame

dhambi

zangu,

uzifute

hatia

zote,

Ee

MUNGU

wa

wokovu

wangu,

uniponye

na

damu

za

watu,

Ulimi

wangu

utaiimba

haki

yako,

Bwana

uifumbue

midomo

yangu,

Kinywa

changu

kitazinena

sifa

zako,

kwa

utukufu

wako

mkuu.

Hupendezwi

na

dhabihu,

au

ningeitoa

kwako,

Wewe

huridhii

sadaka

ya

kuteketezwa

pekee,

Dhabihu

za

Mungu

ni

roho

iliyovunjika,

Moyo

uliovunjika

na

kupondeka,

Wewe

hutaudharau.

Unitendee

mema

kwa

radhi

yako,

ujenge

kuta

za

fadhili

na

wema

unilinde

Kwa

Damu

yako

unijengee

Kuta

za

wokovu

wako.

Ee

Mungu,

uniumbie

moyo

safi,

Uifanye

upya

roho

iliyotulia

ndani

yangu.

Usinitenge

na

uso

wako,

wala

Roho

Mtakatifu

usiniondolee,

Unirudishie

furaha

ya

wokovu

wako,

unitegemeze

kwa

roho

ya

wepesi.

Ee

Mungu,

uniumbie

moyo

safi.

Ninaimba

sifa

zako

Bwana

wangu,

mwamba

wangu

jabali

langu,

nakutegemea

peke

yako.

Ee

Mungu,

uniumbie

moyo

safi,

Uifanye

upya

roho

iliyotulia

ndani

yangu.

Usinitenge

na

uso

wako,

wala

Roho

Mtakatifu

usiniondolee,

Unirudishie

furaha

ya

wokovu

wako,

unitegemeze

kwa

roho

ya

wepesi.

Alleluia

Nakusifu

MUNGU

wangu

More songs by SAFFEPA Listen to songs created by others
FROBITS