[female
vocals] (
Piano
solo
mélodique
et
doux)
Oh,
Seigneur,
je
t'élève
mon
âme
Dans
le
calme
de
ta
présence
Nime
inua
macho
yangu
juu
nataka
nimu
tukuze
alie
juu,
yeye
anipaye
pumzi
ya
uhai
ninao
leo,
nilikua
si
hesabiwi
na
watu,
wali
niona
sifai
lakini
Mungu
haku
niachilia
wakati
wowote,
alinipa
pumzi
ili
niendelee
kuishi,
Le
monde
s'agite,
mais
je
reste
ici
Auprès
de
ton
trône,
là
où
tout
est
béni
Je
soulève
mes
mains
vers
ton
ciel
infini
Ni
mwabudu
nani
kama
siyo
wewe
ehee
Je
soulève
ma
main
pour
adorer
le
Dieu
vivant
Mungu
ndiye
nguvu
yangu
mimi
nina
kuabudu
oh, (
oooooh
mimi
nina
kwa
budu
Kristo
uliye
hai)
C'est
lui
qui
me
donne
le
souffle
de
vie
oh, (
oooooh
mimi
nina
kuabudu
Kristo
uliye
hai)
unipaye
uzima
na
amani
oh, (
oooooh
mimi
nina
kuabudu
Kristo
uliye
hai)
hakuna
mwengine
kama
wewe!
Wakati
vita
inakua
kali
wewe
ndiye
nina
kimbilia,
wakati
watu
wana
sema
sita
weza
wewe
ndiye
nina
kimbilia,
hakuna
amutumainie
bwana
apate
haya,
daudi
alisema
nilikua
kijana
sasa
mimi
ni
mzee,
sija
wahi
kuona
mwenye
haki
ame
achwa
na
bwana,
Je
sais
que
ta
main
ne
me
lâchera
pas
Tu
es
la
lumière
dans
la
nuit
profonde
La
seule
vérité
au
milieu
de
ce
monde
Niki
fumba
macho
yangu
nakuona
wewe
Kristo
tuu
ukiniambia
nisiogope,
Je
veux
te
servir
jusqu'à
la
fin
des
jours,
ni
mwabudu
nani
kama
siyo
wewe
ehee
Je
soulève
ma
main
pour
adorer
le
Dieu
vivant
Mungu
ndiye
nguvu
yangu
mimi
nina
kuabudu
oh, (
oooooh
mimi
nina
kuabudu
Kristo
uliye
hai)
Unipaye
uzima
na
amani
oh, (
oooooh
mimi
nina
kuabudu
Kristo
uliye
hai)
hakuna
mwengine
kama
wewe!
Nguvu
zako
baba
naziona
pale
napo
tazama
mwezi
na
juA
linapo
ngaa
inamaanisha
kwamba
wewe
upo,
wewe
ni
Alfa
na
omega,
mwanzo
na
mwisho
wa
maisha
yangu
yote,
Je
ne
crains
rien,
car
tu
es
à
mes
côté
Oh,
Seigneur,
reçois
ma
louange
aujourd'hui
Car
ton
amour
seul,
jamais
ne
s'enfuit
Maneno
yako
ni
ya
amani
tena
niya
milele,
Ta
parole
est
vraie,
elle
est
le
seul
mur
Wewe
unilindaye
maadui
zangu
wote,
Ta
main
est
puissante,
ta
grâce
est
mon
meuble
Mkono
wako
wa
kuume
una
nishika
ili
mimi
nisi
anguke,
Par
ta
main
divine,
le
passé
est
effacé,
Ni
mwabudu
nani
kama
siyo
wewe
ehee
Je
soulève
ma
main
pour
adorer
le
Dieu
vivant
Mungu
ndiye
nguvu
yangu
mimi
nina
kuabudu
oh, (
oooooh
mimi
nina
kuabudu
Kristo
uliye
hai)
Unipaye
uzima
na
amani
oh, (
oooooh
mimi
nina
kuabudu
Kristo
uliye
hai)
hakuna
mwengine
kama
wewe!
Le
Dieu
vivant...
mon
créateur
Tu
es
tout
pour
moi,
mon
seul
bonheur (
Le
piano
s'estompe
lentement)
Mon
souffle,
ma
vie,
mon
adoration
Amen.