[male vocals] Rogers
Nyamongo!
Twende!
Matiang'i,
shujaa
wetu!
Kiongozi
wetu,
mbele
daima!
Poa
sana!
Fred
Okengo
Matiang'i,
zawadi
kwa
wakenya
Kazi
yako
imeng'ara,
kila
pembe
unaonekana
Ulipokuwa
waziri,
uliweka
msimamo
thabiti
Matunda
ya
kazi
yako,
sasa
tunayatafiti
Ulikuja
na
nguvu,
wizara
zikabadilika
Kila
ulipokanyaga,
uzembe
ukaondoka
Fred
Matiang'i,
shujaa
wetu
hodari
Uliwatimua
wavivu,
ukaonyesha
safari
Elimu
ikapanda,
mitihani
ikawa
sawa
Fred
Matiang'i,
jina
lako
linaitwa
kwa
sifa (
Hii
ni!
Tamu!)
Mabasi
ya
shule,
uliweka
rangi
moja
Wizi
wa
mitihani,
uliufanya
uwe
kioja
Ulinzi
ukaimarika,
ukiwa
pale
jeshini
Machambazi
wakakimbia,
hawakuonekana
mjini
Wezi
wa
mali
ya
umma,
uliwaandama
bila
hofu
Kiongozi
wa
mfano,
mwenye
kazi
zake
ni
safi
Fred
Matiang'i,
shujaa
wetu
hodari
Uliwatimua
wavivu,
ukaonyesha
safari
Elimu
ikapanda,
mitihani
ikawa
sawa
Fred
Matiang'i,
jina
lako
linaitwa
kwa
sifa
Kenya
inakuhitaji,
kiongozi
wa
maono
Watendakazi
kama
wewe,
ndio
wetu
mchango
Usiogope
kelele,
za
chura
wasioweza
Kumbuka
Daudi
alichaguliwa,
ndoto
zikajipanga (
Mambo!
Bongo!
Ah
ah!)
Uliibuka
na
busara,
ukaongoza
kwa
uaminifu
Uliibuka
na
busara,
ukaongoza
kwa
uaminifu
Taifa
linakushukuru,
kwa
kazi
yako
ya
usafi
Shujaa
wetu
Fred,
tunakuvulia
kofia
Tunajua
safari
yako,
mbele
inatung'aria
Kenya
inataka
kazi,
na
wewe
ndiye
kiongozi
Maono
yako
yakweli,
yanatupa
sisi
mapenzi
Fred
Matiang'i,
shujaa
wetu
hodari
Uliwatimua
wavivu,
ukaonyesha
safari
Elimu
ikapanda,
mitihani
ikawa
sawa
Fred
Matiang'i,
jina
lako
linaitwa
kwa
sifa
Mbele
daima,
kiongozi
wetu
Fred!
Kenya
inakuamini,
tunazidi
kusonga!
Fred
Okengo
Matiang'i,
shujaa
wa
kweli!
Twende,
poa
sana!
Rogers
Nyamongo
na
Matiangi