[male vocals] TAMALA
Verse 1
Tamala
wanizuzuwa,
na
hilo
pendo
ambalo
Mwenzio
ninapagawa,
na
huba
nilipatalo
Na
hasa
ninauguwa,
nisijijue
kwa
hilo
Si
tende
siyo
haluwa,
utamu
niuhisio.
Verse 2
Ona
navyojimwagia,
dabwa
machozi
shavuni
Sikai
nikatulia,
hemuhemu
ni
ndiani
Kaumu
wanidhania,
majununi
akilini
Ni
huba
lanizuzua,
hilo
hawajabaini.
Tamala,
Tamala,
wanizuzuwa
ee!
Si
tende,
siyo
haluwa,
utamu
niuhisio
Tamala,
Tamala,
huba
lanizuzua
Mwenzio
ninapagawa,
kwa
pendo
nilipatalo
Naradidi
kwa
karara,
nudhumu
nakutungiya
Ikufike
tajamala,
heri
nakusabiliya
Kwako
isiwe
hasara,
mahaba
kinigawiya
Jitume
kugangamala,
hatamu
kujishindiya.
Tamala,
Tamala,
wanizuzuwa
ee!
Si
tende,
siyo
haluwa,
utamu
niuhisio
Tamala,
Tamala,
huba
lanizuzua
Mwenzio
ninapagawa,
kwa
pendo
nilipatalo
Verse 4
Kwako
weye
sifukuti,
penzi
nimeshaliridhi
Kwa
huba
najidhatiti,
nisitoke
kwenye
jozi
Wache
waunde
kamati,
ndizo
za
kwao
walozi
Kwako
mefika
tamati,
bendera
naikabidhi.
Tamala,
Tamala,
wanizuzuwa
ee!
Si
tende,
siyo
haluwa,
utamu
niuhisio
Tamala,
Tamala,
huba
lanizuzua
Kwako
mefika
tamati,
bendera
naikabidhi!
Tamala,
Tamala,
wanizuzuwa
ee!
Si
tende,
siyo
haluwa,
utamu
niuhisio
Tamala,
Tamala,
huba
lanizuzua
TAMALA
Verse 1
Tamala
wanizuzuwa,
na
hilo
pendo
ambalo
TAMALA
Verse 1
Tamala
wanizuzuwa,
na
hilo
pendo
ambalo
Mwenzio
ninapagawa,
na
huba
nilipatalo
Na
hasa
ninauguwa,
nisijijue
kwa
hilo
Si
tende
siyo
haluwa,
utamu
niuhisio.
Verse 2
Ona
navyojimwagia,
dabwa
machozi
shavuni
Sikai
nikatulia,
hemuhemu
ni
ndiani
Kaumu
wanidhania,
majununi
akilini
Ni
huba
lanizuzua,
hilo
hawajabaini.
Tamala,
Tamala,
wanizuzuwa
ee!
Si
tende,
siyo
haluwa,
utamu
niuhisio
Tamala,
Tamala,
huba
lanizuzua
Mwenzio
ninapagawa,
kwa
pendo
nilipatalo
Verse 1
Tamala
wanizuzuwa,
na
hilo
pendo
ambalo
Mwenzio
ninapagawa,
na
huba
nilipatalo
Tamala
wanizuzuwa,
na
hilo
pendo
ambalo
Mwenzio
ninapagawa,
na
huba
nilipatalo
Tamala
wanizuzuwa,
na
hilo
pendo
ambalo
Mwenzio
ninapagawa,
na
huba
nilipatalo
Na
hasa
ninauguwa,
nisijijue
kwa
hilo
Si
tende
siyo
haluwa,
utamu
niuhisio.
Verse 2
Ona
navyojimwagia,
dabwa
machozi
shavuni
Sikai
nikatulia,
hemuhemu
ni
ndiani
Kaumu
wanidhania,
majununi
akilini
Ni
huba
lanizuzua,
hilo
hawajabaini.
Tamala,
Tamala,
wanizuzuwa
ee!
Si
tende,
siyo
haluwa,
utamu
niuhisio
Tamala,
Tamala,
huba
lanizuzua
Mwenzio
ninapagawa,
kwa
pendo
nilipatalo
Verse 1
Tamala
wanizuzuwa,
na
hilo
pendo
ambalo
Mwenzio
ninapagawa,
na
huba
nilipatalo
Tamala
wanizuzuwa,
na
hilo
pendo
ambalo
Mwenzio
ninapagawa,
na
huba
nilipatalo
Tamala
wanizuzuwa,
na
hilo
pendo
ambalo
Mwenzio
ninapagawa,
na
huba
nilipatalo
Tamala
wanizuzuwa,
na
hilo
pendo
ambalo