(Eehe) mmmh ni mwarabu kwenye hii tena
Weka volume juu, twende sasa!
Kipaji changu kinang'aa kama jua,
Nimekuja kuwasha moto, hakuna kulala.
Kila beat ninaipa nafasi, na nikitoa,
Wimbo huu utakuwa stori ya mtaa.
Ngoja niseme, hawaoni kinachokuja,
Mimi niko hapa nitatoa tu ngoma kwajili yangu na wananguwa damu,na wala sifati mkumbo wa wengi acha muda utaongea eeeh mmh
Mziki mpya, ngoma kali, unatetema,
Eeh ! Hii ndio rhythm kali, inatetema songwe hii eeh
Tuimbe wote, tusisite, hadi kieleweke wanangu
Kila kona wanasema, 'Afrobits ameshatoa,'
Na fikra yangu inajaza kila nafasi.
Wana-dance, wanashegaa, hawajawahi ona nafanya hii tena tuenjoy
Hii track ni bomu, inaishi mioyoni.
Ndio maana nasema, usisubiri kesho,
Mziki huu ni zawadi,kwa wote na sasa tutaimba pamoja eh!.
Mziki mpya, ngoma kali, unatetema,
Eeh! Hii ndio rhythm kali, inaelema songwe hii eeh.
Tuimbe wote, tusisite, hadi kieleweke wanangu wa damu
Good sound new melody it's happening right now
Tuimbe sasa !
Eeh! Hii ni yetu sote
Ni mwarabu nimekuja na tena Asanteeee