[male vocals] Mama
yetu
mpenzi,
bi
Zomari
Ni
kama
ndoto
vile,
lakini
leo
ishirini
ya
Septemba,
kila
mwanafamilia
anaikumbuka
siku
hii.
Siku
ile
mama
ulifumba
macho
na
hujafumbua
tena,
ulituachia
majonzi
tele
mama!
Leo
umetimiza
mwaka
tangia
utuache
wenyewe,
bila
wewe
mama
tumekukumbuka!
Watoto
wako
wote
tupo,
maisha
yanaendelea
mama,
ila
daaah!
We
Acha
tu!
Mwache
Mungu
aitwe
Mungu!
Njia
yetu
ndo
hiyo
moja!
Mwache
Mungu
aitwe
Mungu!
Mwache
Mungu
aitwe
Mungu!
Njia
yetu
ndo
hiyo
moja!
Bro
Mazo
yupo,
analiongoza
jahazi,
usukani
kaukamata
vyema.
Da
nesi
Judith
yupo,
Iringa
katulia
anaendeleza
fani.
BRO
baba
Noela
mzee
wa
One
ten
yupo,
kila
kitu
kipo
sawa.
Rose,
wa
sura
yako
kajituliza
Chanika.
Joben
naye
kwa
Wasukuma
huko,
bado
anatafuta
ugali.
Pezo
best
yako
kakumiss
sana,
Acha
tu.
Andy
kipenzi
chako,
chozi
la
mwisho
halijadondoka
bado.
Tunakukumbuka
kipenzi
chetu
mama,
Mwache
Mungu
aitwe
Mungu!
Njia
yetu
ndo
hiyo
moja!
Mwache
Mungu
aitwe
Mungu!
Mwache
Mungu
aitwe
Mungu!
Njia
yetu
ndo
hiyo
moja!