Frobits
🎵 A song made on Frobits

Mombasa Aaahh

0:000:00
Download
Make your own song
Continues securely on the web
Lyrics

Mombasa aaahh
Mombasa aaahh
245 uh yeah yeah
Mombasa aaahh

Mtu nampenzi, lakini sidekezwi
Mi mpenzi mtazamaji
Mtu na kwetu, ntakuwa fala
Kama samaki akifa kwenye maji
Acha nionekane sijiwezi
Siri ya mtungi naijuwa kata
Ni mara ngapi nimeumizwa nikalia, ah
Uliza ili jicho

Hawa watu hawa
Hivi kwali ni watu wa mungu hawa?
Mbona hawana huruma hawa?
Dar es Salaama mtanitoa roho yangu
Me siwezi kuishi bila kupendwa

Bora niende, Mombasa aaahh
Nikajaribu, zali langu mimi, Mombasa aaahh
Naomba mnipokee, eh, Mombasa aaahh
Abdulswamad nateseka mimi, Mombasa aaahh

Nipate mtoto wa mtu nimpende
Nimpende salamu zifike bongo
Dhahabu chini ya mtende
Na mi nitulize ubongo
Nachoka mimi nachoka
Kulia lia kama mutoto
Basi nijipate nitulie
Ushanitosha msoto

Hawa watu hawa
Hivi kwali ni watu wa mungu hawa?
Mbona hawana huruma hawa?
Dar es Salaama mtanitoa roho yangu
Me siwezi kuishi bila kupendwa

Bora niende, Mombasa aaahh
Nikajaribu, zali langu mimi, Mombasa aaahh
Naomba mnipokee, eh, Mombasa aaahh
Camilus nateseka mimi, Mombasa aaahh

More songs by Orkiu Listen to songs created by others
FROBITS