Frobits
🎵 A song made on Frobits

Nifundishe Kuwa na Mipaka

0:000:00
Download
Make your own song
Continues securely on the web
Lyrics

[female vocals] Moyo

wangu

umechoookaaa...

Nisaidie

Mungu

maana

mimi

nimechoka!

Najitahidi

kadri

ya

uwezo

wangu

ila

leo

Mungu

kweli

nimechookaa!

Nisaidie

maana

mimi

ndio

chanzo

cha

machozi

yangu

narudia

leo

nimechoka

Mungu

wangu.

Nimelia,

kusali,

kufunga

ila

leo

baba

nione

maana

nimechoka.×2

Moyo

unauma,

mawazo

yamenisonga

maana

wanaoniliza

niwale

wakaribu

nami×2

Moyo

unauma,

mawazo

yamenisonga

maana

wanaoniliza

niwale

wakaribu

nami×2

Moyo

unauma,

mawazo

yamenisonga

maana

wanaoniliza

niwale

wakaribu

nami×2

Nimekubali

wema

pasipo

kipimo,

ni

upumbavu,

nifunze

kuwa

na

mipaka.×2

Nimekubali

wema

pasipo

kipimo,

ni

upumbavu,

nifunze

kuwa

na

mipaka.×2

Nimekubali

huruma

pasipo

na

kiwango,

ni

ufukara

nifunze

kuwa

na

mipaka

baba.×2

Mipaka

kwa

ndoa

yangu,

mipaka

kwa

kazi

yangu,

mipaka

kwa

huduma

yangu,

mipaka

kwa

urafiki,

eeh

Mungu

wangu

nifundishe

kuwa

na

mipaka.

Nimekubali

huruma

pasipo

na

kiwango,

ni

ufukara

nifunze

kuwa

na

mipaka

baba.×2

Mipaka

kwa

ndoa

yangu,

mipaka

kwa

kazi

yangu,

mipaka

kwa

huduma

yangu,

mipaka

kwa

urafiki,

eeh

Mungu

wangu

nifundishe

kuwa

na

mipaka.

Sitalaumu,

sitalia,

sitalalamika

maana

Mungu

unaniweka

kiwango

kingiineee.×2

Sitalaumu,

sitalia,

sitalalamika

maana

Mungu

unaniweka

kiwango

kingiineee.×2

Maana

sio

kila

anayekuja

maishani

mwako

ana

makusudio

ya

Mungu,

wengine

ni

vita

vilivyoandaliwa

kukuangamiza

pasipo

ufahamu

wako.

Mimi

Darling,

nakushukuru

Mungu

wangu,

maana

umeshanitendea

na

uzao

waangu

More songs by DAUGHTER Listen to songs created by others
FROBITS