Frobits
🎡 A song made on Frobits

Penzi La Mama

0:000:00
Download
Make your own song
Lyrics

[male

vocals] (

Taarab

style

oud

intro

with

light

percussion)

PENZI

LA

MAMA ​

Naanza

kutakalamu,

kulisifia

penzi,

la

mama

alonilea

Nalinadi

kwa

nudhumu,

nayo

ndefu

simulizi,

wimbo

ninalitungia

Huba

ninaliheshimu,

tena

bila

ya

ajizi,

shime

nimejionea

Sijawa

mwendawazimu,

na

bichwa

halina

ganzi,

hilino

kulitambua. ​

Swali

linanitekenya,

layumbayumba

kichwani, β€œ

nani

mfano

wa

mama?”

Najikusanyakusanya,

silali

usingizini,

ruiya

zinanikwama ​

Malaika

wanikanya,

ni

mwiko

yao

maoni,

mfanowe

kusakama

Ziraili

anionya,

nikuweke

fuadini,

maisha

hadi

kiama. ​

Nafasi

ya

kwake

mama,

siyo

mithili

ya

jua,

ishikwayo

na

mba’

mwezi

Au

jua

likizama,

nyota

nazo

huchanua,

hutoa

yake

miyonzi

Ni

kiumbe

muadhama,

malezi

anayajua,

tangia

enzi

na

enzi

Mimbarini

nasimama,

nikikuombea

dua, β€˜

sishikwe

na

angamizi. ​

Niko

kando

ufukweni,

pepo

za

jozi

kwa

jozi,

zavuma

kwa

utulivu

Nakuwaza

muhisani,

maonyo

yako

ya

wazi,

yaso

shari

na

uovu

Jasho

nalowa

mwilini,

ninagubikwa

na

chozi,

siyo

kwa

penzi

la

wivu

Ni

rejea

za

zamani,

kumbukizi

za

malezi,

yako

mama

muangavu. ​

Nikifanya

marejeo,

zama

zangu

utotoni,

mamangu

alinitonya

Akaning’

ata

sikio,

na

kunitomasa

mboni,

mabaya

akanionya

Akanipa

mwelekeo,

lipi

bora

maishani,

na

baya

akanikanya

Kisa

cha

hili

pambio,

kuliweka

kitabuni,

wenzangu

mpate

ona ​

Sina

maono

hafifu,

macho

yaliyo

dhoofu,

nisiyaone

mapenzi

Na

silewi

mkangafu,

niwe

mla

nyamamfu,

nikajitia

makuzi

Penzilo

ni

adilifu,

kwa

mapana

na

marefu, β€˜

talipia

simulizi

Mama

u

mja

nadhifu,

wa

karama

afuafu,

kwa

malezi

na

ujuzi. ​

Penzi

la

mama

bahari,

ichukuwayo

viumbe,

majini

na

wanadama

Livunjalo

majabali,

lisiache

hata

chembe,

mkembe

yakimwandama

Penzi

la

mama

johari,

kulibeza

usiambe,

utakufa

na

kuzama

Penzi

lishike

ngangari,

lishike

na

usiyumbe,

ni

dira

kuitizama. ​

Mama

ni

nguzo

imara,

iliyozamishwa

chini,

kwa

mapenzi

ya

Moliwa

Ni

mpaji

wa

nusura,

atoa

nyingi

auni,

tabu

ukielemewa

Kwetu

hii

ni

tijara,

tuishike

mikononi,

aula

ungatambuwa

Mama

hana

taathira,

mfano

wake

ni

nani,

kichwani

kunizuzuwa.

More songs by NJOGOPA Listen to songs created by others
FROBITS