[female vocals] Eeh
baba,
eeh
baba
e
Sauti
ya
moyo
wangu
inakuita
Eeh
Yesu,
Eeh
Yesu
Eeh
Yesu,
Eeh
Yesu
Ninakuabudu,
wewe
ni
mwamba
wangu
Mimi
mwanao
nakuja
mbele
yako
Sio
kwa
mali,
sio
kwa
fedha
Sio
kwa
yale
unayonipa
kila
siku
Sio
magari
ya
kifahari,
ooh
hapana
Ila
kwa
kazi
yako
ya
msalabani
Nimeona
upendo
mkuu,
upendo
wa
ajabu
Nakupenda,
eeh
Baba
nakupenda
Sio
kwa
vitu,
ila
kwa
upendo
wako
Nakupenda,
eeh
Yesu
nakupenda
Kwa
uzima
uliotoa
pale
msalabani
Usiyekuwa
na
dhambi,
uliifanya
dhambi
Ili
mimi
niwe
haki
mbele
za
Mungu
Sio
kwa
uwezo
wangu,
ni
kwa
neema
yako
Ulinivuta
kwako,
ukaniosha
na
damu
yako
Sasa
naishi
kwa
imani,
sasa
naishi
kwa
sifa
Nakupenda,
eeh
Baba
nakupenda
Sio
kwa
vitu,
ila
kwa
upendo
wako
Nakupenda,
eeh
Yesu
nakupenda
Kwa
uzima
uliotoa
pale
msalabani
Upendo
wako
si
wa
kunipa
mali
Wala
utajiri
wa
dunia
hii
Upendo
wako
umenipa
haki
Umenipa
uzima
wa
milele,
milele
yote
Hallelujah,
sifa
ziende
kwako
Nakupenda,
eeh
Baba
nakupenda
Sio
kwa
vitu,
ila
kwa
upendo
wako
Nakupenda,
eeh
Yesu
nakupenda
Kwa
uzima
uliotoa
pale
msalabani
Peres
Cheketela
anakuimbia
Nakupenda
baba,
pokea
sifa
Eeh
baba,
nakupenda
Haleluya,
haleluya,
nakupenda