Ooh oooh ooooh
Umechoka, umeshushwa moyo?
Mwambie Yesu, mwambie Yesu,
una huzuni, huna furaha?
Mwambie Yesu sasa.
Mwambie Yesu, mwambie yesu, amejulika sana
Hayuko rafiki kama yesu, mwambie Yesu sasa
Unalia juu ya haja zako?
Mwambie Yesu,mwambie Yesu
Mbona wazificha dhambi zako?
Mwambie Yesi sasa
Mwambie Yesu, mwambie yesu, amejulika sana
Hayuko rafiki kama yesu, mwambie Yesu sasa
Waogopa?Usihuzunike
Mwambie Yesu, Mwambie Yesu;
Una hofu kwa mambo ya mbele
Mwambie yesu sasa.
Mwambie Yesu, mwambie yesu, amejulika sana
Hayuko rafiki kama yesu, mwambie Yesu sasa
Waogopa uwazapo kifo?
mwambie Yesu, mwambie Yesu;
Wautamani ufalme wake?
mwambie Yesu sasa.
Mwambie Yesu, mwambie yesu, amejulika sana
Hayuko rafiki kama yesu, mwambie Yesu sasa*2