Frobits
🎵 A song made on Frobits

TSC Miaka Sitini

0:000:00
Download
Make your own song
Continues securely on the web
Lyrics

[male

vocals] (

TSC

NO.465811)

T.

S.

C

MIAKA

SITINI —

HADITHI

YA

UTUKUFU

[INTRO – Afrobeat] La-la-la-la-la-la-la!

Ooh-ooh-ooh-ooh-ooh!

Mmmh-mmmh-mmmh-mmmh!

T.

S.

C!

Miaka

sitini!

Hadithi

ya

utukufu!

[BETI YA 1] Miaka

sitini,

safari

ya

fahari,

Ilianza

zamani,

tukaanza

safari,

Miaka

ya

matumaini,

machozi

na

shangwe,

Vizingiti

na

kona,

lakini

tukasonga

mbele.

Kulikuwa

na

hofu,

kulikuwa

na

majonzi,

na

machozi,

Bomblast

ikaja,

ikatuacha

na

majeraha

moyoni,

Co-operative

House,

Booooom!

Oooooooh,

OOOOh!

kumbukumbu

haifutiki,

Lakini

T.

S.

C

ilisimama,

haikusalimu

amri.

[PRE-CHORUS] Chaki,

chati,

mtoto

na

darasa,

Miaka

ipite,

maendeleo

yatuangaza,

Mishumaa

sitini,

ikiwaka

kwa

mwanga,

Mbegu

tulizopanda,

leo

zinazaa

matunda.

[CHORUS] Teacher

service

Commission,

Teachers

Service

commission,

miaka

sitini!

Hadithi

ya

utukufu,

twaiimba

kwa

shangwe!

Teachers

Service

commission,

miaka

sitini!

Mwalimu

tunamlinda,

taaluma

tunaiinua

juu!

Chaki,

chati,

mtoto

na

darasa,

Miaka

ipite,

maendeleo

yatuangaza,

Ndoto

na

matendo,

elimu

na

maadili,

T.

S.

C

miaka

sitini,

tunasonga

kwa

bidii!

[BETI YA 2] Tumeilinda

taaluma,

tumeilinda

heshima,

Mwalimu

akihudumu

kwa

moyo

na

hekima,

Bwana

na

Bi

mwalimu,

tayari

kuelekeza,

Watoto

kutoka

chekechea,

hadi

shahada

kufikia.

Hatua

kwa

hatua,

twapanda

juu,

T.

S.

C

na

walimu,

daima

bega

kwa

bega

tu,

Walimu

ni

walezi,

waumbaji

na

walinzi,

Wajenzi

wa

taifa,

wapandaji

wa

mbegu.

[CHORUS] Teachers

Service

commission.

Miaka

sitini!

Hadithi

ya

utukufu,

twaiimba

kwa

shangwe!

Teachers

Service

commission

miaka

sitini!

Mwalimu

tunamlinda,

taaluma

tunaiinua

juu!

Kutoka

darasani,

chaki

mkononi,

Hadi

skrini

za

kidijitali,

mwanga

machoni,

Kutoka

mwalimu

mwanafunzi,

hadi

shahada

ya

juu,

Sayansi

na

sanaa,

tukapanda

juu.

T.

S.

C,

wajibu

wako

ni

mkubwa,

Kumlea

mwalimu,

taaluma

ikaendelea

kukua,

Washauri,

walezi,

wajenzi

wa

taifa,

Walinda

kesho,

kwa

elimu

ya

maana.

[BRIDGE – Call & Response] Mwalimu! —

Tupo

pamoja!

T.

S.

C! —

Tupo

pamoja!

Miaka

sitini! —

Tupo

pamoja!

Taaluma! —

Tunaikuza!

Mwalimu! —

Tunamlinda!

Taifa! —

Tunalijenga!

[CHORUS] Ni

T.

S.

C

miaka

sitini!

Ee!

Miaka

sitini!

Hadithi

ya

utukufu!

Ee!

Hadithi

ya

utukufu!

[BETI YA 4 – TIMEC] T.

S.

C

humtia

moyo

mwalimu,

Katika

dhiki,

katika

shangwe,

humwinua

mwalimu,

TIMEC

ni

chombo

cha

matumaini,

Kutoka

huzuni

hadi

shangwe

za

moyoni.

Kutoka

upweke

hadi

kujieleza,

Mwalimu

akasimama,

akapata

nguvu

ya

kuendelea,

Mwalimu

hufundisha,

mwalimu

hushinda,

Hupanda

mbegu

leo,

kesho

mavuno

yaibuka.

Huotesha

ndoto

kwa

vijana

wetu,

Huzimwagilia

kwa

hekima

na

juhudi

zetu,

Kesho

yao

ni

leo

tunayoijenga,

Kwa

elimu,

maadili

na

kazi

yenye

tija.

[CHORUS] Chaki,

chati,

mtoto

na

darasa,

Miaka

ipite,

maendeleo

yatuangaza,

Mishumaa

sitini,

ikiwaka

kwa

mwanga,

Mbegu

tulizopanda,

leo

zinazaa

matunda.

[BETI YA 5 – WITO WA TAIFA] Miaka

sitini,

tazama

utukufu,

Mafundi,

madaktari,

wachezaji

kwa

ustadi

mkuu,

Mafundi

umeme,

madereva

barabarani,

Wataalamu

wa

kesho,

walilelewa

darasani.

Kutoka

darasa

moja

hadi

taifa

zima,

Mwalimu

ndiye

mbegu,

elimu

ndiyo

mvua,

Kilichopandwa

jana,

leo

kinaonekana,

T.

S.

C

na

mwalimu,

taifa

linaendelea.

[ [BETI YA 7 – MIFUMO YA ELIMU] Sitini

na

sita

hadi

themanini

na

tano,

Saba-nne-mbili-tatu,

historia

hiyo

tunaitazama,

Themanini

na

tano

hadi

elfu

mbili

na

kumi

na

saba,

Nane-nne-nne,

mfumo

ukatuongoza.

Sasa

CBC,

CBE

ikaja,

Umahiri

na

uwezo,

mtoto

akavumbua,

T.

S.

C

pamoja

na

walimu,

jukumu

likawa

kubwa,

Kumwandaa

mwanafunzi

kwa

dunia

inayobadilika.

[BREAK – Spoken Afrobeat] Miaka

sitini!

Historia

si

hadithi

tu—

Ni

safari!

Ni

walimu!

Ni

watoto!

Ni

taifa!

[BETI YA 8 – TEKNOLOJIA] Kutoka

karatasi,

hadi

kidijitali,

Kutoka

malipo

ya

mkono,

hadi

njia

ya

mtandao

wa

hali,

Mshahara

wafika

kupitia

T.

PAY,

Teknolojia

mbele—

T.

S.

C

iko

sawa!

T-PAD

kwa

tathmini,

maendeleo

yakapanda,

Mwalimu

ajitathmini,

taaluma

ikaendelea

kustawi,

Hakuna

kurudi

nyuma,

twasonga

mbele,

Teknolojia

na

taaluma,

tukishikana

mikono

tele.

[BRIDGE – RHYTHMIC] Kulinda

mwito! —

T.

S.

C!

Kuimarisha

taaluma! —

T.

S.

C!

Kumlea

mwalimu! —

T.

S.

C!

Kuinua

hadhi! —

T.

S.

C!

Kujenga

taifa! —

T.

S.

C!

[FINAL CHORUS – BIG AFROBEAT] T.

S.

C,

T.

S.

C,

miaka

sitini!

Hadithi

ya

utukufu,

twaiimba

kwa

shangwe!

T.

S.

C,

T.

S.

C,

miaka

sitini!

Mwalimu

tunamlinda,

taaluma

tunaiinua

juu!

More songs by Owiti Listen to songs created by others
FROBITS