[female
vocals] (
Hallelujah!
Bwana
asifiwe!) (
Tunaitangaza
nguvu
ya
damu
ya
Yesu) (
Haleluuuuuya)
Kipo
kijito
cha
damu
ya
Yesu
Kipo
kijito
cha
damu
ya
Yesu
Mwokozi
wetu
mkuu
wa
ajabu
Kioshacho
wakosaji
wote
Dhambi
na
uchafu
vyote
vikaondoka
Dhambi
na
uchafu,
dhambi
na
uchafu
Kioshacho
wakosaji,
dhambi
na
uchafu
Damu
ya
Yesu
ina
nguvu
sana
Kutakasisha
mioyo
ya
watu
Mataifa
yote
waje
kwa
Yesu
Kijito
hicho
ni
tumaini
letu
Msalabani
mnyang'anyi
alikiona
Kisima
kile
cha
uzima
tele
Nami
niliye
dhaifu
mbele
zako
Nitakaswe
pia
kwa
damu
yako
Nitakaswe
pia,
nitakaswe
pia
Hata
mimi
ni
mnyonge,
nitakaswe
Damu
ya
Yesu
ina
nguvu
sana
Kutakasisha
mioyo
ya
watu
Mataifa
yote
waje
kwa
Yesu
Kijito
hicho
ni
tumaini
letu
Ee
Mwokozi
damu
yako
siku
zote
Ina
nguvu
ya
ajabu
ya
kuokoa
Kuokoa
wenye
dhambi
wote
Mataifa
yote,
mataifa
yote
Kuokoa
wenye
dhambi,
mataifa
yote
Kijito
hicho
cha
ajabu
kweli
Tumaini
langu
jema
maishani
Upendo
wako
nasifu
daima
Nausifu
sana,
nausifu
sana
Upendo
wako
nasifu
daima
Nausifu
sana,
nausifu
sana
Upendo
wako
nasifu,
nausifu
sana (
Asante
Yesu!) (
Damu
yako
inatutakasa!) (
Sifa
kwa
Mungu!) (
Naisifu
sana!)
Naisifu
sana! (
Naisifu
sana!)
Naisifu
sana!