Frobits
🎵 A song made on Frobits

The Prayer of Hezekiah (Remix)

0:000:00
Download
Make your own song
Lyrics

[male vocals] WCB!

Twende!

Siku

hizo

Hezekia

aliugua,

akawa

katika

hatari

ya

kufa;

na

Isaya

nabii,

mwana

wa

Amozi,

akaenda

kwa

mfalme,

akamwambia,

Bwana

asema

hivi,

Tengeneza

mambo

ya

nyumba

yako;

maana

utakufa,

wala

hutapona.

Basi

Hezekia

akajigeuza,

akaelekeza

uso

wake

ukutani,

akamwomba

Bwana,

akasema,

Ee

Bwana,

kumbuka

haya,

nakusihi,

kwamba

nimekwenda

mbele

zako

katika

kweli

na

kwa

moyo

mkamilifu,

na

kutenda

yaliyo

mema

machoni

pako.

Hezekia

akalia

sana

sana.

Ikawa,

neno

la

Bwana

likamjia

Isaya,

kusema,

Enenda

ukamwambie

Hezekia,

Bwana,

Mungu

wa

Daudi,

baba

yako,

asema

hivi,

Mimi

nimeyasikia

maombi

yako,

nimeyaona

machozi

yako;

tazama,

nitaziongeza

siku

zako,

kiasi

cha

miaka

kumi

na

mitano.

Nami

nitakuokoa

wewe,

na

mji

huu,

na

mkono

wa

mfalme

wa

Ashuru,

nami

nitaulinda

mji

huu.

Jambo

hili

liwe

ishara

kwako,

itokayo

kwa

Bwana,

ya

kuwa

Bwana

atalitimiza

jambo

hili

alilolisema;

Tazama,

nitakirudisha

nyuma

kivuli

madaraja

kumi,

ambayo

kilishuka

juu

ya

duara

ya

Ahazi

kwa

sababu

ya

jua.

Basi

jua

likarudi

madaraja

kumi

katika

hiyo

duara,

ambayo

limekwisha

kushuka.

Haya

ndiyo

maandiko

ya

Hezekia,

mfalme

wa

Yuda,

alipokuwa

hawezi,

naye

akapona

ugonjwa

wake.

Nalisema,

Katika

usitawi

wa

siku

zangu

nitakwenda

kuingia

malango

ya

kuzimu;

Nimenyimwa

mabaki

ya

miaka

yangu.

Nalisema,

Sitamwona

Bwana,

yeye

Bwana,

katika

nchi

ya

walio

hai;

Sitamwona

mwanadamu

tena

pamoja

na

hao

wakaao

duniani.

Kao

langu

limeondolewa

kabisa,

limechukuliwa

kama

hema

ya

mchungaji;

Nimekunja

maisha

yangu

kama

mfumaji;

atanikatilia

mbali

na

kitanda

cha

mfumi;

Tangu

mchana

hata

usiku

wanimaliza.

Nalijituliza

hata

asubuhi;

kama

simba,

aivunja

mifupa

yangu

yote;

Tangu

mchana

hata

usiku

wanimaliza.

Kama

mbayuwayu

au

korongo

ndivyo

nilivyolia;

Naliomboleza

kama

hua;

macho

yangu

yamedhoofu

kwa

kutazama

juu;

Ee

Bwana,

nimeonewa,

na

uwe

mdhamini

wangu.

Niseme

nini?

Yeye

amenena

nami,

na

yeye

mwenyewe

ametenda

hayo;

Nitakwenda

polepole

miaka

yangu

yote,

kwa

sababu

ya

uchungu

wa

nafsi

yangu.

Ee

Bwana,

kwa

mambo

hayo

watu

huishi;

Na

uhai

wa

roho

yangu

u

katika

hayo

yote;

Kwa

hiyo

uniponye

na

kunihuisha.

Tazama;

nalikuwa

na

uchungu

mwingi

kwa

ajili

ya

amani

yangu;

Lakini

kwa

kunipenda

umeniokoa

na

shimo

la

uharibifu;

Kwa

maana

umezitupa

dhambi

zangu

zote

nyuma

yako.

Kwa

kuwa

kuzimu

hakuwezi

kukusifu;

mauti

haiwezi

kukuadhimisha;

Wale

washukao

shimoni

hawawezi

kuitarajia

kweli

yako.

Aliye

hai,

naam,

aliye

hai,

ndiye

atakayekusifu,

kama

mimi

leo;

Baba

atawajulisha

watoto

kweli

yako.

Bwana

yu

tayari

kunipa

wokovu.

Basi,

kwa

vinubi

tutaziimba

nyimbo

zangu,

Siku

zote

za

maisha

yetu

nyumbani

mwa

Bwana.

Maana

Isaya

amesema,

Na

watwae

mkate

wa

tini,

wakauweke

juu

ya

jipu,

naye

atapona.

Tena

Hezekia

alikuwa

amesema,

Iko

ishara

gani

ya

kunionyesha

ya

kuwa

nitapanda

niingie

nyumbani

mwa

Bwana?

More songs by De Listen to songs created by others
FROBITS