Frobits
🎵 A song made on Frobits

Samahani Mpenzi (Remix)

0:000:00
Download
Make your own song
Lyrics

[male vocals] SAMAHANI

MPENZI.

Yalaiti

samahani,

kwa

vyangu

hivi

viliyo

Kukuweka

mtimani,

na

mengine

nikupayo

Nikazama

mahabani,

mahaba

kwako

ambayo

Hayazami

akilini,

usinijali

kwa

hayo.

Nisamehe

wahubani,

kwa

kuwa

langu

chaguo

Ni

kudura

za

manani,

siyo

langu

pendeleo

Tafadhali

sitarani,

moyo

wangu

upe

nguo

Niafiki

wangu

nyuni,

chozi

lifike

kituo.

Mwenzio

nipo

kizani,

nimepigwa

na

ukungu

Yamenifika

kooni,

makali

yake

machungu

Zigo

haliwezekani,

unituwe

nyuni

wangu

Kuishi

haiwezekani,

nikikosa

lako

fungu.

Mbele

nendako

sioni,

ja

wasemavyo

wahenga

Pendo

'kikaa

moyoni,

mtu

huzuka

mjinga

Ya

mbele

kamwe

haoni,

macho

yake

hujifunga

Tena

huwa

punguwani,

asosikia

waganga.

More songs by NJOGOPA Listen to songs created by others
FROBITS