[male vocals] Familia
ya
Galiel
Kasenene,
Imepata
pigo
kubwa
na
huzuni,
Kwa
kumpoteza
mtoto
wetu
mpendwa,
Keneti
Mulundana
Jeraradi,
Kutoka
Rwanyango,
Kyerwa.
Mtoto
wetu
Keneti
Mulundana,
Aliyezaliwa
tarehe
ishirini,
Mwezi
wa
kwanza
mwaka
elfu
mbili
na
kumi
na
moja,
Rwanyango.
kyelwa
Baba
yake
Jeradi
kasenene
analia
mama
yake
Judith
Damiani
Wape
nguvu
na
faraja,
Ee
Bwana.
Baba
yake
Jeradi
kasenene
analia
mama
yake
Judith
Damiani
Wape
nguvu
na
faraja,
Ee
Bwana.
Keneth
apumzike
kwa
amani,
Na
sisi
tuliobaki
tupe
faraja.
Ndugu
zake
Aziwa,
Litha,
Getsi,
Mwaka,
Kevini
na
Gift,
Leo
tunalia
kwa
huzuni,
Tumepoteza
ndugu
yetu
mpendwa,
Maisha
yana
mwisho,
hatujui
lini,
Leo
tupo
pamoja,
kesho
hatujui,
Kila