[male vocals] Yeah
yeah...
Maisha
yana
fundisha,
Lakini
shida...
ina
dhalilisha.
Nilikuwa
na
marafiki
walijaa
kila
kona,
Leo
sina
kitu,
hata
simu
hawaoni.
Niliyekuwa
namtegemea,
naye
kanikwepa,
Nikajifunza
duniani
kila
mtu
ana
hesabu
yake
ahadi
sio
deni
niulize
mimi
shida
inadhalilisha,
utaambiwa
baadae
usiweke
tumaini
nakwambia
hutaamini
hiyo
baadae,
ni
Mungu
tu
watu
wema
wapo
ndio
maana
tunaishi,
kuna
muda
mbele
giza
tupu
ila
Mungu
ana
nuru
zake
Asante
kwa
hata
hicho
kidogo
ooh
Nimeomba
msaada,
nikajibiwa
kesho,
Kesho
ikafika,
wakasema
bado.
Lakini
moyo
wangu
bado
unasema,
Mungu
hataacha
machozi
yanizime.
Usinicheke
leo
kwa
sababu
nimeanguka,
Kesho
inaweza
kuwa
zamu
yako.
Maisha
yanazunguka,
Anayedharau
leo,
kesho
huomba
msaada
Shida
inadhalilisha...
Lakini
hainiui,
inanifundisha.
Shida
inadhalilisha...
Mungu
ndiye
ngome
yangu,
ataninyanyua.
Leo
nalia,
kesho
nitatabasamu,
Safari
bado
haijaisha.
Nguo
zikichakaa
watu
hubadilika,
Pesa
zikiisha
heshima
hupungua.
Lakini
thamani
ya
mtu
si
mfuko
wake,
Ni
moyo
wake
na
matendo
yake,
imani
yake
moyoni
inaweza
kuwa
dawa,
omba
afya
njema
upate
muda
wa
kazi
maana
ukilala
kwa
maradhi
fedhea
na
aibu
waja
hawata
kuacha
salama,
utalia
ukisikia
maneno
yao,
Mungu
nipe
nguvu
nisilale
mapema
naitamani
kesho
nzuri
shida
za
leo
nadhalilika
mja
wako,
thanks
kwa
ujasiri
Tabasamu
kwangu
normal
hata
nikihisi
kukataliwa
kwa
imani
ni
mapito
nitakubaliwa
hata
na
wachache
ooh
Nitasimama
tena
kwa
nguvu
za
Muumba,
Nitafungua
ukurasa
mpya
wa
maisha.
Walionidharau
watashangaa,
Maana
ushindi
huja
baada
ya
majaribu.
Shida
inadhalilisha...
Lakini
hainiui,
inanifundisha.
Shida
inadhalilisha...
Mungu
ndiye
ngome
yangu,
ataninyanyua.
Leo
nalia,
kesho
nitatabasamu,
Safari
bado
haijaisha
Kama
unapitia
shida...
usikate
tamaa.
Leo
ni
giza,
lakini
alfajiri
inakuja.
Ni
Mwarabu
kwenye
hii
tena "
Shida
inadhalilisha,
lakini
haimzuii
anayemtegemea
Mungu
kufika
mbali."
Asanteeee