Frobits
🎵 A song made on Frobits

Baraka Zako Darling

0:000:00
Download
Make your own song
Continues securely on the web
Lyrics

[female

vocals] *

Mungu

wangu,

unayejua

mwanzo

wangu

na

hatima

yangu,

Nimekuja

kwako

mimi

Darling

na

sala

ya

Uvunjo

siku

hii

yaleo.*

Nathibitisha

katika

Neno

lako,

nathibitisha

katika

ahadi

yako

na

imani

kwamba

umenifunika.

Ninapotoka

na

kurudi,

Mungu,

nalindwa

wewe,

nimejaa

neema

nafadhili

kubwa

nayote

niwewe!

Hakika

nimebarikiwaaa!

Chorus:(

Nakusema

miimiii,

nimbrarikiwa

Hakika

nasemeema,

miiimii

nimebarikiwaa!)x2 1. *

Kusanyiko

lolote

baya

na

la

kishetani

dhidi

ya

hatima

yangu

Darling,

litawanywe

sasa

kwa

jina

lako

tukufu.*

Chorus:(

Nakusema

miimiii,

nimbrarikiwa

Hakika

nasemeema,

miiimii

nimebarikiwaa!)x2 2. *

Mshale

wowote

mbaya

uliorushwa

dhidi

ya

maisha

yangu

Darling,

kazi

yangu,

biashara

yangu,

familia

yangu (

na

mengineyo),

urudi

kwa

mtumaji

wake

sasa

kwa

jina

lako

tukufu.*

Chorus:(

Nakusema

miimiii,

nimbrarikiwa

Hakika

nasemeema,

miiimii

nimebarikiwaa!)x2 3. *

Shimo

lolote

lililochimbwa

kwa

ajili

yangu

Darling

na

adui,

aanguke

mwenyewe

ndani

yake

kwa

faraja

kuu . 4. *

Ee

Mungu,

wafanye

maadui

wanaonifuatilia

katika

maisha

na

hatima

yangu

warudi

nyuma.

Hakika

nasemeema,

miiimii

nimebarikiwaa!)x2 5. *

Wale

wanaopanga

kunidhuru

na

kunilaani,

wakumbwe

na

aibu,

wachanganyikiwe

na

wajionee

fedheha

kwa

jina

lako

tukufu.*

Hakika

nasemeema,

miiimii

nimebarikiwaa!)x2

Kwa

imani

kuu

kwako

Mungu

wangu

uliyeiumba

mbingu

na

Ardhi

ni

kwamba

hakuna

silaha

yoyote

iliyopangwa

dhidi

yangu

mwanao

Darling

itafanikiwa

kamwe!

na

Amina.

Chorus:(

Nakusema

miimiii,

nimbrarikiwa

Hakika

nasemeema,

miiimii

nimebarikiwaa!)x2 7. *

Utambulisho

wowote

mbaya

uliopangwa

dhidi

ya

maisha

yangu,

uteketezwe

na

moto

wa

Roho

Mtakatifu.*

Chorus:(

Nakusema

miimiii,

nimbrarikiwa

Hakika

nasemeema,

miiimii

nimebarikiwaa!)x2

Anenaye

baraka

dhidi

ya

jina

langu

Darling

aishi

kwa

baraka

eeh

Mungu!

Ila

anenaye

laana

basi

akaishi,

kulala,

kutembea,

kula

na

hata

kunywa

hizo

laana

maana

ni

sehemu

ya

maisha

yake.

Chorus:(

Nakusema

miimiii,

nimbrarikiwa

Hakika

nasemeema,

miiimii

nimebarikiwaa!)x2

Kwa

imani

kuu

kwako

Mungu

wangu

uliyeiumba

mbingu

na

Ardhi

ni

kwamba

hakuna

silaha

yoyote

iliyopangwa

dhidi

yangu

mwanao

Darling

itafanikiwa

kamwe!

na

Amina.

Chorus:(

Nakusema

miimiii,

nimbrarikiwa

Hakika

nasemeema,

miiimii

nimebarikiwaa!)x2

Chorus:(

Nakusema

miimiii,

nimbrarikiwa

Hakika

nasemeema,

miiimii

nimebarikiwaa!)x2 1. *

Kusanyiko

lolote

baya

na

la

kishetani

dhidi

ya

hatima

yangu

Darling,

litawanywe

sasa

kwa

jina

lako

tukufu.* [

female

vocals] *

Mungu

wangu,

unayejua

mwanzo

wangu

na

hatima

yangu,

Nimekuja

kwako

mimi

Darling

na

sala

ya

Uvunjo

siku

hii

yaleo.*

Nathibitisha

katika

Neno

lako,

nathibitisha

katika

ahadi

yako

na

imani

kwamba

umenifunika.

Ninapotoka

na

kurudi,

Mungu,

nalindwa

wewe,

nimejaa

neema

nafadhili

kubwa

nayote

niwewe!

Hakika

nimebarikiwaaa!

Chorus:(

Nakusema

miimiii,

nimbrarikiwa

Hakika

nasemeema,

miiimii

nimebarikiwaa!)x2

Chorus:(

Nakusema

miimiii,

nimbrarikiwa

Hakika

nasemeema,

miiimii

nimebarikiwaa!)x2 1. *

Kusanyiko

lolote

baya

na

la

kishetani

dhidi

ya

hatima

yangu

Darling,

litawanywe

sasa

kwa

jina

lako

tukufu.*

Chorus:(

Nakusema

miimiii,

nimbrarikiwa

Hakika

nasemeema,

miiimii

nimebarikiwaa!)x2 1. *

Kusanyiko

lolote

baya

na

la

kishetani

dhidi

ya

hatima

yangu

Darling,

litawanywe

sasa

kwa

jina

lako

tukufu.*

Chorus:(

Nakusema

miimiii,

nimbrarikiwa

Hakika

nasemeema,

miiimii

nimebarikiwaa!)x2

More songs by DAUGHTER Listen to songs created by others
FROBITS