[female vocals] Oh,
Honore,
sikiliza
sauti
hii
Sifa
kwa
Bwana,
yeye
ni
mwamba
wetu
Mwili
ni
udongo,
dada,
kaka,
mama,
papa
Usijivune
na
mali,
ase
unapesa,
ama
mapenzi
yakudanganye
Mutu
asikuchonganishe
na
marafiki
zako
Ama
ndugu
zako,
sababu
mwili
si
kitu
Leo
uko,
lakini
kesho
hauko
Sifa
kwa
Bwana,
asante
Yesu,
amina
Honore,
tegemea
Bwana
pekee
Neema
yake
inatosha,
usikate
tamaa
Honore,
jina
lako
limeandikwa
mbinguni
Glory,
utukufu
ni
wake
yeye
aliye
juu
mbinguni
Acha
niwaambiye
istoliya
moja
niliyokutana
nayo
Nilikuwa
na
rafiki
yangu,
tulikuwa
na
shauriyana
Miye
kijana,
naye
nani,
binti
mazuri
na
Mabaya
kilichotokeya,
alikuwa
naniambiya
iyi
nimabaya
naiyi
nimazuli
kutokana
na
Sababu
ya
tamaa,
yamali
za
dunia
Kupenda
penda
Kila
mutu
sazimoya
niibilisi
sanasana
wanaumewanasalimiy
ya
dunia
Amen,
twamsifu
Bwana,
haleluya
Honore,
tegemea
Bwana
pekee
Neema
yake
inatosha,
usikate
tamaa
Honore,
jina
lako
limeandikwa
mbinguni
Glory,
utukufu
ni
wake
yeye
aliye
juu
mbinguni
Matusi
makali,
majaribu
yanakuja
Miye
nina
muombea
kwa
Mungu
abaki
anamulinda
Miye
nina
muomba
musamaha
Sababu
sijui
siku,
wala
saa,
wala
dakika
Praise
Him,
neema
inatosha
Wanawake,
wasikudanganye
Unichukie
na
unitukabe
Na
kama
ninasema
maneno
mabaya
Unisamehe,
tuwe
wamoja
mbele
ya
Mungu
Yes
Lord,
tunanyenyekea
kwako
Honore,
tegemea
Bwana
pekee
Neema
yake
inatosha,
usikate
tamaa
Honore,
jina
lako
limeandikwa
mbinguni
Glory,
utukufu
ni
wake
yeye
aliye
juu
mbinguni
Honore,
simama
imara
ndani
ya
imani
Neema
inatosha,
amina,
haleluya
Tunakushukuru
Bwana,
milele
na
milele
Amen,
amen,
amen.