(Hallelujah)
(Praise
Him)
Bwana,
tuko
mbele
zako
leo.
Tumeitwa
kwa
jina
lako,
Tumehifadhiwa
kwa
kusudi
lako.
Tumepita
usiku
mrefu
wa
giza,
Lakini
alfajiri
yako
tumeiona
sasa.
Kama
bado
umetupa
pumzi
ndani
Basi
bado
kuna
“ndiyo”
ya
kweli
ndani
Yes
Lord,
tunasujudu
mbele
Tunakiri
wewe
ni
Bwana
wa
mabwana.
tuko,
Bwana—
Tuma
moto,
Bwana—
Tuma
Neno,
tutasema!
Chukua
mioyo
Chukua
maisha
yetu
yote;
Kizazi
hiki
kikuhitaji
sasa—
TUTUME,
Bwana,
TUTUME!
Tunaona
mkono
wako
ukitembea,
Katika
kila
hatua
tunayopiga.
Glory,
tumeshuhudia
wema
wako,
kila
bonde
Si
kwa
uwezo
wetu,
bali
kwa
neema
yako,
Tunainuka
kama
jeshi
la
nuru.
Thank
You
Jesus,
kwa
ajili
ya
nguvu,
ukuu
wako
katikati
Hapa
tuko,
Bwana—
Tuma
moto,
Bwana—
Tuma
Neno,
tutasema!
Chukua
mioyo
Chukua
maisha
yetu
yote;
Kizazi
hiki
kikuhitaji
sasa—
TUTUME,
Bwana,
TUTUME!
(Soprano):
(Alto):
Mimi
ni
(Tenor):
Tunajitoa
kwako
Bwana!
Tunaomba
ututumie,
Kama chombo chako, Bwana!
Amen,
amen,
tunasema
amen!
Solo:
Ukituita?
Kwaya:
TUTAITIKA!
Tuma
moto,
tutawaka!
Tuma
Neno,
tutasema!
Chukua
mioyo
Chukua
maisha
yetu
yote;
Kizazi
hiki
kikuhitaji
sasa—
TUTUME,
Bwana,
Tutume,
Bwana.