[male vocals] Mungu
mwenye
nguvu
Na
mwenye
uweza
Ninakuabudu,
We
Bwana
Kwa
matendo
yako
Hallelujah,
utukufu
kwako
Nimeonja
wema
wako
Ulitawanyisha
bahari
shamu
Likawa
njia ,
njia
kavu
baba
Wewe
ni
Mungu
Hallelujah,
utukufu
kwako
Nimeonja
wema
wako
Umeniridhisha ,
ufalme
wako
Ninakushukuru
Kwa
Neema
hiyo
Uinuliwe
Hallelujah,
utukufu
kwako
Nimeonja
wema
wako
Kama
sio
wewe
ningekuwa
wapi?
Kwa
huruma
zako,
zako
Bwana
Umenipa
uhai
Hallelujah,
utukufu
kwako
Nimeonja
wema
wako