Nakusubiri
mpenzi
wangu
Niko
hapa
nakusubiri,
njoo
unione (
Wewe
ni
wangu
wa
pekee)
Umeuteka
moyo
wangu
sijiwezi
Kila
nikikumbuka
tabasamu
lako
nalia
kwa
furaha
Hivi
kweli
nimepata
malkia
wa
moyo
wangu
Siku
zinavyozidi
kwenda
nakupenda
zaidi
Natamani
kuwa
na
wewe
kila
sekunde
Huwezi
jua
jinsi
unavyonifanya
nijihisi
Kama
nipo
peponi
nikiwa
na
wewe
Umeniteka
kabisa,
sina
pa
kwenda
Mary,
mpenzi
wangu,
nakupenda
sana
Umeuteka
moyo
wangu,
siwezi
tena
Njoo
basi
mpenzi,
nimekukumbuka
sana
Niko
hapa
nakusubiri,
njoo
unione
Mary,
mpenzi
wangu,
nakupenda
sana
Umeuteka
moyo
wangu,
siwezi
tena
Njoo
basi
mpenzi,
nimekukumbuka
sana
Niko
hapa
nakusubiri,
njoo
unione
Kila
nyimbo
ninayosikia
inanikumbusha
wewe
Sauti
yako
ni
kama
asali
masikioni
mwangu
Natamani
nikushike
mikono
twende
zetu
Ulimwengu
uone
jinsi
tunavyopendana
Sijiwezi
kwa
ajili
yako
mpenzi
wangu
Wewe
ndiye
pumzi
yangu,
ndiye
mwangaza
Usiniache
peke
yangu,
nahitaji
uwepo
wako
Kila
saa,
kila
dakika,
nakuwaza
wewe
tu
Mary,
mpenzi
wangu,
nakupenda
sana
Umeuteka
moyo
wangu,
siwezi
tena
Njoo
basi
mpenzi,
nimekukumbuka
sana
Niko
hapa
nakusubiri,
njoo
unione
Mary,
mpenzi
wangu,
nakupenda
sana
Umeuteka
moyo
wangu,
siwezi
tena
Njoo
basi
mpenzi,
nimekukumbuka
sana
Niko
hapa
nakusubiri,
njoo
unione
Siwezi
kuishi
bila
wewe
Mary
Unajua
jinsi
unavyonigusa
ndani
Penzi
letu
ni
kama
ndoto
isiyoisha
Nipo
tayari
kutoa
kila
kitu
kwa
ajili
yako
Njoo
mpenzi,
nimekukumbuka
mno
Mary,
mpenzi
wangu,
nakupenda
sana
Umeuteka
moyo
wangu,
siwezi
tena
Njoo
basi
mpenzi,
nimekukumbuka
sana
Niko
hapa
nakusubiri,
njoo
unione
Mary,
mpenzi
wangu,
nakupenda
sana
Umeuteka
moyo
wangu,
siwezi
tena
Njoo
basi
mpenzi,
nimekukumbuka
sana
Niko
hapa
nakusubiri,
njoo
unione
Nakusubiri
mpenzi
wangu
Mary,
nakupenda
Njoo
kwangu,
nimekumis
sana
Mary,
mpenzi
wangu,
nakupenda
sana