Frobits
🎵 A song made on Frobits

Bustani La Uzima

0:000:00
Download
Make your own song
Lyrics

[male

vocals] (

Soli

ya

gitaa

ya

kielektroniki,

midundo

ya

taratibu)

naimba

sifa

zako

Bwana

wa

ma

bwana

Umerekebisha

maisha

yangu

Ume

ifanya

kuwa

bustani

ya

uzima,

Asante,

kweli

asante

sana

Umeondowa

ayibu

yangu

Umenivika

nguo

mupya

Umeniosha

kabisa

kabisa

Umenipaka

mafuta

rohoni

Usifiwe

eh

Mungu

wangu

kwa

yote

Nilipita

bonde

la

mauti

Bila

maji,

bila

chakula

Hata

bila

tumaini

lolote

Lakini

wewe

ulikuwa

nami

Sikufa,

Kama

aduwi

walikusudiya

Ulinilinda

kwa

mkono

wako

wenye

nguvu

Leo

nastawi

kama

bustani

la

uzima

Mauwa,

miti

na

matunda

tele

kwangu

Mimi

Keljwa

Tshilumba

nakuwa

bustani

Bustani

la

uzima

kwa

ajili

yako

Yesu

Asante

sana,

asante

sana

Bwana

Ukamtuma

malaika

wako

Kuja

kuwa

msaada

kwangu

Kanishika

mkononi,

kanionyesha

njia

Sikutembea

gizani

tena

Nuru

yako

iliangaza

njia

yangu

Umenipandikiza

mbegu

ya

upendo

Imekuwa

mti

mrefu

wa

baraka

Matunda

yake

ni

amani

ya

milele

Sihitaji

tena

kuhofia

kesho

Hata

kidogo

Kwa

maana

wewe

ni

mlinzi

wangu

Les

lendemains

sont

dans

tes

mains

Leo

nastawi

kama

bustani

la

uzima

Mauwa,

miti

na

matunda

tele

kwangu

Mimi

Keljwa

Tshilumba

nakuwa

bustani

Bustani

la

uzima

kwa

ajili

yako

Yesu

Asante

sana,

asante

sana

Bwana

Kama

maji

ya

mto

yanavyotiririka

Ndivyo

neema

yako

inavyotiririka

kwangu

na

kwa

jamaa

yangu

yote.

Sina

cha

kulipa

zaidi

ya

sifa

ya

moyo

wangu

na

ushuhuda

wangu

Sina

cha

kutoa

zaidi

ya

moyo

wangu

kuwa

ekalu

Yako

mumba

wangu

Pokea

sifa,

pokea

utukufu

Wewe

ni

mwema,

wewe

ni

mwaminifu

Kila

asubuhi

Ninapo

Hamuka,

Naona

upendo

wako

mpya

Mbele

zangu

Kama

mmea

unaochipuka

kwenye

ardhi

Ndivyo

roho

yangu

inavyochipuka

kwako

Si

kwa

uwezo

wangu,

si

kwa

hekima

yangu

vraiment

c'est

par

ta

grâce,

Ni

kwa

neema

yako

tu

Bwana,

only

your

grace

Nimefika

hapa

nilipo

leo

Na

nitaendelea

kustawi

milele

Nitasonga

mbele

pamoja

n'a

wewe

yesu

Leo

nastawi

kama

bustani

la

uzima

Mauwa,

miti

na

matunda

tele

kwangu

Mimi

Keljwa

Tshilumba

nakuwa

bustani

Bustani

la

uzima

kwa

ajili

yako

Yesu

Asante

sana,

asante

sana

Bwana

Asante

sana

Mungu

wa

Ujana

wangu

Mungu

wa

maisha

yangu

yote

Yesu

wangu

mpaka

mwisho

wangu

du

nianiania,

nitakupenda,

nitakupenda

tu

wewe

mungu

wangu (

Soli

ya

gitaa

ikipungua

taratibu)

Nakusifu,

nakutukuza

Sifa

kwako

yesu. (

Soli

ya

gitaa

ikipungua

taratibu)

Nakusifu,

nakutukuza

Sifa

kwako

yesu.

More songs by keljwa Listen to songs created by others
FROBITS