Frobits
🎵 A song made on Frobits

My Garden of Dreams

0:000:00
Download
Make your own song
Continues securely on the web
Lyrics

[male

vocals] (

Zanzibar/

coastal

melody

style:

Gentle

Oud

melody

swirling

in

the

humid

breeze) (

Soft

rhythmic

pulse

of

the

Riqq)

Ua

langu;

Silo

lililosifika,

kwa

maruma

na

uturi

Ua

nililolishika,

linalo

sifa

kadiri

Hatamu

limeidaka,

laongoza

manowari

Ua

langu

la

ndotoni,

ua

kidani

moyoni.

Ua

linalo

thamani,

ya

tende

nazo

haruwa

Ua

ni

shibe

njaani,

taabani

ndilo

dawa

Linalo

rihi

puani,

harufu

ilo

muruwa

Ua

langu

la

ndotoni,

silachi

lende

kandoni.

Mengi

nilojionea,

ya

njiani

nikopita

Kuyashika

mejutia,

kwazo

baa

na

matata

Yana

mengi

kusemea,

kitabu

utakipata

Ua

langu

la

ndotoni,

kwalo

sinayo

mashaka.

Ya

fahari

uzunguni,

mie

sikuyawezea

Sinayo ‘

senti’

fukoni,

takesha

kuyapatia

Maua

ya

kimodeni,

yalinifanya

suria

Ua

langu

la

ndotoni,

waridi

liso

madaha.

Ua

nimelishikia,

lisinitoke

puani

Rihi

nikiisikia,

furaha

tele

moyoni

Tena

nimejitwalia,

niwe

nalo

nyumbani

Ua

langu

la

ndotoni,

ua

kidani

moyoni.

More songs by NJOGOPA Listen to songs created by others
FROBITS