Stella,
mke
wangu,
nakuomba
sana
Tuwe
kama
zamani,
tuwe
na
amani
Stella
mke
wangu,
mwana
wa
Rwero
Leo
nimesimama
mbele
yako
na
moyo
mweupe
Kumbuka
tulipoanza
safari
ya
maisha
haya
Ulikuwa
malkia
mwenye
tabasamu
la
nuru
Sasa
nahisi
kama
ngeni
ndani
ya
nyumba
yangu
Maneno
yako
makali
yanachoma
kama
miba
Kila
nikikuhitaji
unanipa
mgongo
wa
chuma
Mbona
unabadilika
bila
kunipa
sababu?
Stella,
rudi
kwenye
ule
utu
wako
wa
zamani
Usije
ukawa
kati
ya
wake
wapumbavu
Unaoharibu
nyumba
zao
kwa
mikono
yao
wenyewe
Naomba
uwe
na
heshima
kwangu
na
kwa
mwanetu
Hefzbah
anakuita
kwa
upole,
mbona
unamfokea?
Moyo
wangu
unalia,
mke
wangu
tunakwenda
wapi?
Siwezi
kukaa
kimya
nikitazama
unavyopotea
Hefzbah
ni
malaika
wetu,
anahitaji
upendo
Mbona
unamfokea
kwa
sauti
yenye
ukali?
Ule
upole
uliokuwa
nao
umekwenda
wapi?
Naona
kivuli
cha
mtu
ambaye
simtambui
Unanitesa
kwa
maneno,
unanivunja
moyo
Wataka
kuniua
sijazeeka,
mbona
wanafanya
hivi?
Stella,
rudi
kwenye
ule
utu
wako
wa
zamani
Usije
ukawa
kati
ya
wake
wapumbavu
Unaoharibu
nyumba
zao
kwa
mikono
yao
wenyewe
Naomba
uwe
na
heshima
kwangu
na
kwa
mwanetu
Hefzbah
anakuita
kwa
upole,
mbona
unamfokea?
Moyo
wangu
unalia,
mke
wangu
tunakwenda
wapi?
Achana
na
shogako
yule
Brenda,
anakupotosha
Anajua
maisha
yako
lakini
hataki
kukuona
ukiwa
na
furaha
Anaivuruga
ndoa
yetu
kwa
maneno
ya
kishari
Stella,
sikiliza
moyo
wako,
siyo
ushauri
wa
nje
Tunajenga
nyumba
yetu,
Brenda
hawezi
kuwa
na
nafasi
Rudisha
upendo
wako,
tuokoe
familia
yetu
Stella,
rudi
kwenye
ule
utu
wako
wa
zamani
Usije
ukawa
kati
ya
wake
wapumbavu
Unaoharibu
nyumba
zao
kwa
mikono
yao
wenyewe
Naomba
uwe
na
heshima
kwangu
na
kwa
mwanetu
Hefzbah
anakuita
kwa
upole,
mbona
unamfokea?
Moyo
wangu
unalia,
mke
wangu
tunakwenda
wapi?
Stella,
mke
wangu,
nakuomba
sana
Tuwe
kama
zamani,
tuwe
na
amani
Hefzbah
anakuhitaji,
nami
nakuhitaji
Rudisha
ile
heshima,
rudisha
ule
upendo
Nakupenda
Stella,
tafadhali
nistue (
Nistue) (
Sauti
yako
ilikuwa
kama
asali)
Stella
mke
wangu,
mwana
wa
Rwero