Frobits
🎵 A song made on Frobits

Unanitosha

0:000:00
Download
Reply with a song
Lyrics

[male vocals] Mr

Dreezy

Someone

wa

somebody

Unanitosha,

mtoto

mzuri.

Wapo

warembo

wengi

barabarani,

Tena

ni

maarufu

akina

fulani,

Mi

kwako

nishajitusu

mwanawani,

moyoni

mwangu

we

unatosha

yaani

Sihitaji

mwingine,

we

ndo

chaguo

langu,

Umejaa

kila

nafasi

ndani

ya

moyo

wangu.

Wengine

wana

sura,

wengine

wanalo

zuri

umbo,

We

kwangu

ushaula

ndo

Meneja

wa

yangu

mambo.

Na

kila

sekunde

uzuri

wako

wajirudia

akilini,

Nishachagua

upande

we

maziwa

tui

linafaa

nini,

Najua

Wazuri

zaidi

yako

kisura

ni

kweli

wapo,

Ile

kwangu

wewe

ndo

tunatengeneza

nice

couple,

Unanitosha,

wee

unanitosha,

Kila

nikikuona

huzuni

unaniondosha.

Niseme

nini

tena,

we

ndo

kila

kitu

kwangu,

Unanitosha,

wee

unanitosha,

We

ndo

pambo

la

siku,

jua

la

maisha

yangu. (

Big

man

ting!)

Siwezi

kuhesabu

idadi

na

wingi

wa

warembo,

Kwa

sababu

kwangu,

we

ndo

kilele

cha

mambo.

Sura

yako

inang'ara

kuliko

nyota

za

usiku,

Tabasamu

lako

linaponya

ni

dawa

ya

duku

duku.

Usijilinganishe

na

yeyote

Ee

Kipenzi

changu,

Maana

wewe

ndo

definisheni

ya

uzuri

kwangu,

Nakupenda

we

peke

yako

sihitaji

mbadala,

So

kila

penzi

lastahiri

mengine

ni

uchwara,

Na

kila

sekunde

uzuri

wako

wajirudia

akilini,

Nishachagua

upande

we

maziwa

tui

linafaa

nini,

Najua

Wazuri

zaidi

yako

kisura

ni

kweli

wapo,

Ile

kwangu

wewe

ndo

tunatengeneza

nice

couple,

Unanitosha,

wee

unanitosha,

Kila

nikikuona

huzuni

unaniondosha.

Niseme

nini

tena,

we

ndo

kila

kitu

kwangu,

Unanitosha,

wee

unanitosha,

We

ndo

pambo

la

siku,

jua

la

maisha

yangu. (

Wagwan!)

Sihitaji

vyote,

nakutaka

wewe

tu,

Kama

maji

jangwani,

unanipa

uzima

huu. (

Still!)

Zamani

nilikuwa

napotea

njia,

Sasa

nipo

kwako,

sitaki

tena

kuliwa.

Urembo

wako

haupimwi

kwa

vipimo

vya

dunia,

Ni

kitu

cha

kipekee

kinachonifanya

kutulia.

Kila

siku

unanivutia

kama

sumaku,

Penzi

letu

ni

kama

muziki,

linapiga

kwa

usahihi

wa

haki.

Endelea

kuwa

wewe,

usibadili

kitu,

Maana

kwangu

wewe

ndo

wa

thamani

kuliko

vitu.

Unanitosha,

wee

unanitosha,

Kila

nikikuona

huzuni

unaniondosha.

Niseme

nini

tena,

we

ndo

kila

kitu

kwangu,

Unanitosha,

wee

unanitosha,

We

ndo

pambo

la

siku,

jua

la

maisha

yangu.

Unanitosha,

unanitosha...

We

ndo

wangu,

milele. (

Yeah,

big

man

ting!)

Unanitosha,

mtoto

mzuri. (

Yeah,

big

man

ting!)

Unanitosha,

mtoto

mzuri. (

Still!)

Space

Records

Baby (

Still!)

Space

Records

Baby

More songs by Mr Listen to songs created by others
FROBITS