Shaloom wakaka nawadada katika Kristo,
Ni ndugu yenu Caleb karusi tena
Naona dunia imefika mwisho,kumbuka muumba wako,maana tukifanya zambi kwa kusudi, hatuta ona ufalme wa mungu,
Neno la mungu linasema,kumbuka muumba wako wakati wa uhai wako,sasa dunia inafika mwisho,tufanye angalisho maana Siku ya mwisho kuna hukumu ya moto yenye kutisha,
Dunia inafika mwisho, kumbuka muumba wako,maana ukifanya zambi kwa kusudi hatuta ona ufalme wa mungu,
Iyi maisha ya duniani bila yesu nibure,
Imagine ukifa Léo utaenda n'a nini kule
Utaacha manyumba magari n'a mali,
Halafu ukifa ndani ya yesu,utaishi maisha ya furaha Raha na mani ya milele,
Kitabu ya waebrania sura kumi mustari wa makumi mbili natano unasema
Wala tusiache kukusanyika pamoja, kama ilivyo desturi wa wengine,Bali tuonyane,na kuzidi kufanya hivyo,kwa kadiri muonavyo,
Siku ile kua inakaribia,
Ndugu yenu Caleb karusi napenda neno la mungu
Niko chini ya mwamba, n'a mwamba niyesu aliye juu yangu
Kila Siku namuomba anilinde, katika neno lake Siku zote,
Anilindiye jamaa yangu famille karusi, stola stola familly na wapendwa wangu wote,
Dunia inafika mwisho,
Kumbuka muumba wako,
Kwa maana tukifanya zambi kwa kusudi hatuta ona ufalme wa mungu
Mungu atulinde na atubariki piya Amani yake iwe nasi kwa jina lake yesu kristo
Ameen shaloooom